1800
JF-Expert Member
- Dec 27, 2010
- 2,215
- 603
kuna post ya William malechela anasema wataoka CCM akimpa pole mbunge wa rombo
nadhani soon atajumuika na chadema kama sijamwelewa ndivo sivo
ameshajua ukweli hakuna jema litokalo CCM kwa sasa
aingie chadema apambane kuimboa nchi utumwani na umaskini
No umemuelewa vibaya mkuu,alichomaanisha ni kumuombe Kamanda Selasini apone haraka ili waungane "kurekebisha Taifa" wengine kutokea Cdm na wao (kina William) kutokea C.c.m,sema alichokiri hapo nahisi bila kujijua ni kua taifa lina hali mbaya chini ya MAGAMBA hivyo linahitaji KUREKEBISHWA na MAGWANDA