Ishina
Senior Member
- Dec 27, 2011
- 169
- 57
Kwa sasa Mhe. Mnyika, Mbunge wa Ubungo ndo kaingia sasa, na msafara wake wote wanatumia magari aina ya Vitz. Ben saa8 yupo hapa kwa ajili ya kuondoa sumu ya masalia (Mwampamba na Shonza) iliyomwagwa wiki iliyopita. Kuna nyomi ya kutosha!
Ntajitahidi kuwapa updates zaidi
Ntajitahidi kuwapa updates zaidi