wote mnakaribishwa mawazo , ushiriki, na utayari wakoutaijenga tanzania
View attachment 89142View attachment 89142View attachment 89142
Nimependa rangi za hayo maneno CHADEMA HOUSTON.
Nimependa rangi za hayo maneno CHADEMA HOUSTON.
utaahira na ulimbukeni. ulisikia wapi republican wakifanya mkutano wao morogoro?[/QUOTE
Tunashukuru, karibu sana. Huwezi kucopy kila kitu, inatakiwa ujifunze kuwa mbunifu usiogope kuitetea nchi yako. Umuhimu wa uchumi na maendeleo ya Tanzania ni wajibu wa kila mtanzania kuhakikisha Tanzania inaendelea. Kama unaamini watanzania walio nje hawana haki na nchi sawa, ila kila mtanzania anahaki ya kuilinda, kuipenda, kuitetea na kuiendeleza nchi yake popote alipo
Nimependa rangi za hayo maneno CHADEMA HOUSTON.
utaahira na ulimbukeni. ulisikia wapi republican wakifanya mkutano wao morogoro?
Naona na CCM nao walikuwa na uchaguzi wa viongozi wa DMV wiki chache zilizopita.... Rangi zao ulizionaje?
hiyo rangi ya maandishi una uhakika ni ya chadema?. acha ugamba wewe. nyie ndo mwisho wa siku mnasaliti. au umetumwa kukiharibu chama?. wenzio tukiona rangi ya kijani tunasikia kichefuchefu. ondoa hilo bandiko. mia
mnajizadhalilisha tu. marekani ni marekani tu na haitageuka kuwa tanzania siku moja. au sasa hivi chadema mnataka kwenda kupambana na rep. na democ. katika uchaguzi ujao?K**a yako wewe!so ulitegemea waje kufanyia mkutano mwembeyanga?
sasa huko us unaiteteaje? au uchaguzi ujao nanyi mtashiriki kupambana na rebuplican na democratic?utaahira na ulimbukeni. ulisikia wapi republican wakifanya mkutano wao morogoro?[/QUOTE
Tunashukuru, karibu sana. Huwezi kucopy kila kitu, inatakiwa ujifunze kuwa mbunifu usiogope kuitetea nchi yako. Umuhimu wa uchumi na maendeleo ya Tanzania ni wajibu wa kila mtanzania kuhakikisha Tanzania inaendelea. Kama unaamini watanzania walio nje hawana haki na nchi sawa, ila kila mtanzania anahaki ya kuilinda, kuipenda, kuitetea na kuiendeleza nchi yake popote alipo
mkuu wewe umeingia kwenye huu uzi na kukuta wameshaedit. angalia mda thread ilipo editiwa. miaCheki settings zako za color kwenye monitor. Mbona mie naoma rangi Blue ya Chadema--hata kama si royal blue imeelekea zaidi kwenye cyan blue lakini mbona ni blue. Kama unaona kijani check settings za color.
Ile ni light blue