Naona wanahamisha watu waende kuna cruiser mbili za polisi,znazunguka kila kona,mpaka sasa hali ni shwari tu..
Tuwekee picha kuthibitisha unachokisema hapa zaidi ya hapo taarifa yako itakuwa haina tofauti na wanaovaa MagambaUkweli ni kwamba pamoja na mbwembwe zote,lakini mkutano huu umeanza sasa hivi,hakuna watu kabisa,nimemuona Mhe.AKONAI na Mbunge wa viti maalum sijamfaham kwa jina,kweli Dodoma chadema bado haina nguvu kabisa.
Tuwekee picha kuthibitisha unachokisema hapa zaidi ya hapo taarifa yako itakuwa haina tofauti na wanaovaa Magamba
Try to be specific, gari za polisi ndio zinahamasisha watu waende mkutanoni? Au ndio unaanza kujirudi mwenyewe maana nyomi ishaanza kujaaa? Tulia usikurupuke Mpwa, tulia kidogo ivi sasa ni saa nane na nusu, una ratiba ya mkutano? Tulia kwanza, sawa Mpwa, kunywa maji, pumzika then fanya analysis ya kutosha ndio uposti hapa jukwaani!
Hakuna watu jamani mi nipo hapa uwanjani,mimi sio magamba ila natoa kile ninachokiona,tupende kuwa wakweli hata kama inauma!
Kama unaweza kuchangia JF live unashindwaje kuweka picha???
Una uhakika???
View attachment 40736
Uwanja wa Jamuhuri ulitekwa na Magamba wanajifanya ni wao. Hawawezi kuruhusu chama kingine kuutumia. Nape, wajinga wajinga kama hawa unawawekaje kwenye Payroll yako!wewe ni muongo hapo sio Dodoma,uwanja ni mweupe!mbona kwny picha yako uwanja wa jamhuri hauonekani.
wewe ni muongo hapo sio Dodoma,uwanja ni mweupe!mbona kwny picha yako uwanja wa jamhuri hauonekani.
Uwanja wa Jamuhuri ulitekwa na Magamba wanajifanya ni wao. Hawawezi kuruhusu chama kingine kuutumia. Nape, wajinga wajinga kama hawa unawawekaje kwenye Payroll yako!