Mkutano Wa CHADEMA Butiama

Mkutano Wa CHADEMA Butiama

sasa hapo wanahutubia nini? mawe ? au? mimi nimeshawaambia chama hiki kimeshajiifia. matanga yatakuwa october 2015. makamanda mnatia huruma kweli kweli.


kutoka Butiama kwa baba wa taifa mkutano wa Chadema ukiendelea viongozi mbali mbali wakiwa jukuwana kuongea na wanainchi Chadema mwendo ni ule ule hakuna kulala mpaka. Mod Nakuomba Usiunge Habari hii na Habari nyingine
attachment.php
 
CDM bana! eti Baba wa Taifa Kazoea kusema Uwongo na mpaka anafariki hakujifunza kusema kweli!!!
 
Maana Umeshawazoea wale Mnaowaokoteza nakuwabeba kwenye Malori Ujira ni 5000

Naam, hiyo ndio CCM, wananchi wetu wanatungoja sisi twawaleta kwa malori mikutanoni, kwanini wasije kusikiliza hotuba kwa raha zao? Tena si malori tu umesahau na mabasi.
 
Leticia Nyerere anapendwa sana Butiama, mwakani lazima achukue jimbo

Ulivyo mjinga unadhani anatokea Butiama,huyo ni mchumia tumbo na zigo kwa cdm tunalotegemea kulitua mwakani.kasoma upepo akaamua kulamba posho kwani anajijua kuwa hana chake cdm
 
Mkutano wa hadhara uliofanywa jana katika kijiji cha bumangi wilaya ya butiama ulikuwa unaongozwa na mbunge wa musoma mjini mhe vincent nyerere,mwenyekiti wa chadema mkoa wa mara mhe kayere pamoja na makamanda waandimizi kutoka musoma.Wakazi hao wa kijiji cha butiama kwa sasa wamegoma kuwa jiwe la msingi la ccm,wamesema ccm ya mwalimu nyerere haikuwa inamtukana Jaji Warioba,Mzee Butiku wala Salim bali ilijikita zaidi kujenga umoja na kuwaletea wananchi maendeleo hivyo wameamua kuikaribisha chadema katika kijiji hicho na wamesema kwa sasa chadema ndiyo ina matumaini ya kulijenga taifa kama ilivyokuwa ccm ya mwalimu nyerere na si hii ya sasa.Team chadema twende kazi
attachment.php
 
Back
Top Bottom