Hivi ndani ya mwaka mmoja, CDM wanafanya mikutano jijini Arusha mara ngapi?. Je kuna mji mwingine ambao chadema hufanya mikutano mara kwa mara kama Arusha?. Au ni kwa sababu Arusha ipo kanda ya kaskazini?.
Napita tu.
.
"Ama kweli CHADEMA NI SAWA NA NG'OMBE ASIYE NA BEI SOKONI".
.
"WASIOSOMA NI CHAKULA CHA WASOMI".[
inabidi ukaombewe girl,inaonekana hiyo laana yako ni tasa.]