Wana jukwaa wasalaam,
Leo ccm ndio wanafungua kampeni zao kata ya Sinza C. Kwa kweli wamefunga mziki mzito sana lakini cha ajabu ni kwamba wamekodi wahuni toka tandale halafu wamewavisha t-shirts za ccm Sinza C, hamna la maana linalofanyika zaidi ya nyimbo za taarabu na kuwapa vijana soda na bia