Mkutano wa CCM Moro Live TBC kesho mchana

Mkutano wa CCM Moro Live TBC kesho mchana

tumemruhusu akatumbue tu josephine.!
are you happy?????

Poleni sana. Ukiona mtu anaishabikia CHADEMA ujue ndiyo inayomweka mjini.

Mwananchi wa kawaida hawezi kuishabikia CHADEMA.

Sent from my hp EliteBook 8460p using JamiiForums
 
TBC TV na Radio kesho zitarusha matangazo ya moja kwa moja ya mkutano wa hadhara wa CCM utakaofanyika katika viwanja vya shule ya msingi uwanja wa Ndege mjini Morogoro.

wao na tbc sisi na you tube abood zitafanyaje kazi ya kusomba mutu.....
 
CCM ni kazi tu! Hatuna muda wa maneno na matamko.

Sent from my hp EliteBook 8460p using JamiiForums

Kweli CCM ni kazi kwa kwenda mbele.Si mnaona kijana wetu mahiri Serukamba anavyotia kazi huko bungeni..come on f*** u ni mchango unaohitajika sana kwa ujenzi wa taifa letu hasa kukuza na kuendeleza sekta ya afya,elimu,miundombinu na uchumi.CCM oyeeee
 
Poleni sana. Ukiona mtu anaishabikia CHADEMA ujue ndiyo inayomweka mjini.

Mwananchi wa kawaida hawezi kuishabikia CHADEMA
hatushabikii chadema bali tunashabikia kushamiri kwa demokrasia nchini.!
and both you and me wote tunajua ccm ndio vinara wa ''kuwaweka'' watu mjini kwa kuwatumia kama vibaraka wa kwa malipo.!
i will be very suprised if you deny tha..
 
Uo mkutano wa ccm magamba tunachotaka wananchi ni sera za ahadi mlizo tuaidi watanzania si kuitukana chadema ila ninalolitambua mm ni kwamba hapo hamna jipya zaidi ya mwigulu na nape kitukana chadema
 
TBC TV na Radio kesho zitarusha matangazo ya moja kwa moja ya mkutano wa hadhara wa CCM utakaofanyika katika viwanja vya shule ya msingi uwanja wa Ndege mjini Morogoro.

agenda ni nini?
 
Back
Top Bottom