Mkutano wa CCM Arusha Kesho

Yani kuna mambulula yakilala mchaga wakiamka mchaga mchaga kalanini chamama yenu kama huna hoja 2liza mshono utibiwe poyoyo wewe.
 
Hivi kuna mwana ccm Arusha! Au wanawaleta Monduli na Arumeru kuja kufanyia mkutano Kilombero!

Lets see! Nitajitahidi kufika niwaleteeni picha!

ccm walikosea, wakati wanatangaza wangesema mkutano utahutubiwa na makamanda Godbless Lema, Alfonse Mawazo, Ally Bananga, na Ephata Nanyaro watu wangejaa. Mkutano uliishia kama kikao cha familia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…