Mkutano wa CCM Arusha Kesho


Tupia hizo agenda
 

Kumbe ndio maana mkutano umepangwa Ijamaa!?
Kwani ni mkutano wa chama au Mhadhara? Kama ndio hivyo nadhani kutakuwa na mabasi/malori kuanzia pale Bondeni na Masjid Quba kuelekea Kilombero. Tshirt, kanga na kofia zitagaiwa baada ya Mawaidha!
 
Utafanyika wapi? ccm hii ya kinana au? Akawafundishe watoto wa Arusha kuendesha magari yao
 
Wachaga wanaota ipo siku wataiongoza hii nchi kutokea moshi? Huu ndio ujinga wao.
 
kama ni pale kwenye uwanja wa samunge sidhani kama watu watazidi Elfu mbili, mimi nitapita kwa mbali ili kuakikisha nisemavyo
 
Duh hawa wamekwisha, sasa wacha wapate aibu tupu.
 
Nadhani waende tu Songea na Tanga, vinginevyo kwenda A C ni kutafuta aibu tu!!!!
 
Kumbe ndio maana mkutano umepangwa Ijamaa!?
Kwani ni mkutano wa chama au Mhadhara? Kama ndio hivyo nadhani kutakuwa na mabasi/malori kuanzia pale Bondeni na Masjid Quba kuelekea Kilombero. Tshirt, kanga na kofia zitagaiwa baada ya Mawaidha!

Hakuna pilao au ugali na nyama ya ng'ombe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…