kingunge wa jf JF-Expert Member Joined Dec 24, 2013 Posts 466 Reaction score 457 Mar 14, 2014 #1 Wale wapenzi Wa ACT kesho Kuna kijimkutano chenu hapa Mwanza viwanja vya Mbugani mgeni mashuhuri anaetangazwa ni saliti Mwigamba karibuni
Wale wapenzi Wa ACT kesho Kuna kijimkutano chenu hapa Mwanza viwanja vya Mbugani mgeni mashuhuri anaetangazwa ni saliti Mwigamba karibuni
F fikirikwanza JF-Expert Member Joined Jan 25, 2012 Posts 7,452 Reaction score 3,073 Mar 14, 2014 #2 Hawa panya nao, waacheni tu wale hayo magunia (chama cha upinzani hakiwezi kuweka vita na upinzani).
C Chungurumbira JF-Expert Member Joined Jan 3, 2013 Posts 2,170 Reaction score 571 Mar 14, 2014 #3 ACT - Alliance of Cash spinners and traitors!!!!
kababu JF-Expert Member Joined Mar 14, 2013 Posts 1,834 Reaction score 911 Mar 14, 2014 #4 tutakuwepo mkuu, ukombozi wa ukweli na kung`oa mkoloni mweusi unakaribia, vyama vya kilaghai vimeshagundulika, wanatumia umaskini wetu kujinufaisha kisiasa kwa kutudanganya , act chama makini
tutakuwepo mkuu, ukombozi wa ukweli na kung`oa mkoloni mweusi unakaribia, vyama vya kilaghai vimeshagundulika, wanatumia umaskini wetu kujinufaisha kisiasa kwa kutudanganya , act chama makini
F FUSO JF-Expert Member Joined Nov 19, 2010 Posts 36,476 Reaction score 45,049 Mar 14, 2014 #5 Mwenyekiti wa Wenyeviti anakuja?? au bado mwali kwa sasa?
Kipenzi Changu Platinum Member Joined Aug 24, 2011 Posts 58,058 Reaction score 134,393 Mar 14, 2014 #6 wanafanyia msikiti gani?
B bujash JF-Expert Member Joined Aug 9, 2013 Posts 3,465 Reaction score 424 Mar 14, 2014 #7 Wajiandae kuzomewa! mwambieni huyo msaliti afike na huko kwao MAGU akapime upepo! ulishawahi ona wapi chama cha upinzani tena tz kika-share wapenz na wanachama na ccm??? ACT=CCM
Wajiandae kuzomewa! mwambieni huyo msaliti afike na huko kwao MAGU akapime upepo! ulishawahi ona wapi chama cha upinzani tena tz kika-share wapenz na wanachama na ccm??? ACT=CCM
B bujash JF-Expert Member Joined Aug 9, 2013 Posts 3,465 Reaction score 424 Mar 14, 2014 #8 OKW BOBAN SUNZU said: wanafanyia msikiti gani? Click to expand... Inawezekana ukawa msikiti wa Makoroboi au Mitimirefu! teh teh teh teh teh teh
OKW BOBAN SUNZU said: wanafanyia msikiti gani? Click to expand... Inawezekana ukawa msikiti wa Makoroboi au Mitimirefu! teh teh teh teh teh teh
D Deleted_account JF-Expert Member Joined Nov 1, 2008 Posts 3,385 Reaction score 3,702 Mar 14, 2014 #9 Zitto anatambulishwa lini?
M Molemo JF-Expert Member Joined Sep 24, 2010 Posts 14,620 Reaction score 13,361 Mar 14, 2014 #10 Alliance of Cowards and Traitors Tanzania.
Kibo10 JF-Expert Member Joined Aug 20, 2013 Posts 11,278 Reaction score 8,868 Mar 14, 2014 #11 Bwi bwi bwi...kimwigamba ndio kitahutubia?
Kashaijabutege JF-Expert Member Joined Oct 20, 2010 Posts 2,696 Reaction score 740 Mar 14, 2014 #12 Chungurumbira said: ACT - Alliance of Cash spinners and traitors!!!! Click to expand... ACT-Alliance of Crazy Traitors
Chungurumbira said: ACT - Alliance of Cash spinners and traitors!!!! Click to expand... ACT-Alliance of Crazy Traitors
Kashaijabutege JF-Expert Member Joined Oct 20, 2010 Posts 2,696 Reaction score 740 Mar 14, 2014 #13 Kumbe ndiyo maana kadi feki za CDM zimekamatwa Geita?
M Masanga Member Joined May 11, 2011 Posts 43 Reaction score 4 Mar 14, 2014 #14 inashangaza wapinzan leo wanaogopana wao kwa wao inaonyesha jinc hawa jamaa wa act ni wazur ndio maana wanaogopwa na cdm na kuanza vijembe
inashangaza wapinzan leo wanaogopana wao kwa wao inaonyesha jinc hawa jamaa wa act ni wazur ndio maana wanaogopwa na cdm na kuanza vijembe
M Mutakyamirwa JF-Expert Member Joined Jan 24, 2011 Posts 4,942 Reaction score 1,360 Mar 14, 2014 #15 Hich chama kitakufa kama ilivyokuwa CCJ....viongozi mashuhuri wanaotarajiwa kujiunga nacho wakiona mambo ndivyo sivyo wataendelea kung'anga'nia CDM.
Hich chama kitakufa kama ilivyokuwa CCJ....viongozi mashuhuri wanaotarajiwa kujiunga nacho wakiona mambo ndivyo sivyo wataendelea kung'anga'nia CDM.
THE BIG SHOW JF-Expert Member Joined Feb 28, 2012 Posts 18,543 Reaction score 14,803 Mar 14, 2014 #16 OKW BOBAN SUNZU said: wanafanyia msikiti gani? Click to expand... kwaiyo sasa kama chadema wanafanyia makanisani na wao wameamua kufania misikitini?? basi kazi ipo,tunataka tuone hapo nani mshindi
OKW BOBAN SUNZU said: wanafanyia msikiti gani? Click to expand... kwaiyo sasa kama chadema wanafanyia makanisani na wao wameamua kufania misikitini?? basi kazi ipo,tunataka tuone hapo nani mshindi
P PUNKY JF-Expert Member Joined Jul 16, 2013 Posts 576 Reaction score 251 Mar 14, 2014 #17 Yaani mtu mzima nitoke home nikakasikilize kamwigamba kanahutubia. Haiwwzekani
U uwemba1 JF-Expert Member Joined Apr 2, 2012 Posts 987 Reaction score 718 Mar 14, 2014 #18 Zile kadi zipo nyingine kwa jamaa mmoja zipo mikoa mingi tu zitarudishwa pindi ACT ikifanya mikutano kuonesha wanachadema wamejiunga na ACT
Zile kadi zipo nyingine kwa jamaa mmoja zipo mikoa mingi tu zitarudishwa pindi ACT ikifanya mikutano kuonesha wanachadema wamejiunga na ACT
I idan ndowa Member Joined Dec 2, 2013 Posts 16 Reaction score 1 Mar 14, 2014 #19 fikirikwanza said: hawa panya nao, waacheni tu wale hayo magunia (chama cha upinzani hakiwezi kuweka vita na upinzani). Click to expand... air cargo tanzania
fikirikwanza said: hawa panya nao, waacheni tu wale hayo magunia (chama cha upinzani hakiwezi kuweka vita na upinzani). Click to expand... air cargo tanzania
S shingwengwe JF-Expert Member Joined Feb 3, 2014 Posts 1,152 Reaction score 125 Mar 14, 2014 #20 masanga said: inashangaza wapinzan leo wanaogopana wao kwa wao inaonyesha jinc hawa jamaa wa act ni wazur ndio maana wanaogopwa na cdm na kuanza vijembe Click to expand... act=ccm
masanga said: inashangaza wapinzan leo wanaogopana wao kwa wao inaonyesha jinc hawa jamaa wa act ni wazur ndio maana wanaogopwa na cdm na kuanza vijembe Click to expand... act=ccm