umri baba.David Kafulila angefaa sana kuwa Mwenyekiti wa UVCCM maana ndiye mwenye sifa zote zilizotajwa na Mwenyekiti wa chama!
Kwa hiyo wewe ni damper?Tangu nijiunge JF sijawahi kukimbia BAVICHA. Fuatilia thread zangu zote. Nikiingia tu hapa BAVICHA wanafyata mkia.
Mimi ni shock absorber na huwa nawatoa mapovu vijana wa BAVICHA kama hawana akili nzuri.
Kwa comment yako ndiyo maana nilisema ulishangilia na bado unaendelea kushangilia kwa kuita ni SANAAKuchukua hatua za kiutendaji kutokana na uwajibikaji mbovu wa wateule wake si frustrations,kiongozi makini hapaswi kuongozwa na hisia,anatakiwa kutenda haki,uki, iruhusu frustrations ziwe sehemu ya maamuzi yako kamwe hutoweza kuhukumu kwa haki.
Hakuna popote niliposhangilia,bali sikubaliani na sanaa za kiuongozi!Kusema umekamata vichwa vya treni visivyo na mwenyewe,baadae utuambie umekama magari yaliyoingizwa kwa anuani ya ofisi yako huku magari hayo yapo bandarini ksa zaidi ya miaka miwili hiyo ni sanaa inayovuka mipaka ya dunia hii!Ni sanaa zifanyikazo huko Jupiter.
Haya mambo yakukoshana sindio yamesabanisha wale mademu wa geita wamekamatwa?Hongera Shaka kwa kumkosha Ngosha.
Haka ka UVCCM huwa kanaendaga Mombasa lazima kajue kukosha watu! Ila Bashite akikasikia kana hatari!!Hongera Shaka kwa kumkosha Ngosha.
Bure..Ruge anakufa na tai shingoniHawa wanapesa sana,wamemudu kurusha live kwenye tv?
Aahh weeeYeye mwenyewe hana tofauti na hao UVCCM kwa uongo na unafiki.