Mwana wa Nuru
JF-Expert Member
- Dec 3, 2012
- 590
- 415
Hili halihusiani na kuhiji au alhaji yoyote wala si kutokana na uislamu au dini yoyote bali tatito la huyo mkurugenzi ni UCCM wake na hilo ni dhahili hata John Wanzuki Makufuli kwa U CCM wake akataka watu wapige mbizi baharini.Kuleta hoja za udini ni uduni wa mawazo na itawapa hoja wale wenye ugonjwa wa kueneza virusi vya UCCM kueneza propaganda zao za udini, ukanda na ukabila dhidi ya vyama pinzani.
Nawasihi wana JF tutoe hoja zenye mashiko za kutuondolea umaskini wa kulazimishwa na CCM.Watanzania hatuna tatizo la dini wala kanda wala kabila kwani tunavyo vyingi na kuzidi.Tutaing'oaje CCM na mfumo wake wa kishetan kabla ya au mwaka 2015i?
Nawasihi wana JF tutoe hoja zenye mashiko za kutuondolea umaskini wa kulazimishwa na CCM.Watanzania hatuna tatizo la dini wala kanda wala kabila kwani tunavyo vyingi na kuzidi.Tutaing'oaje CCM na mfumo wake wa kishetan kabla ya au mwaka 2015i?