Sabato masalia
JF-Expert Member
- Oct 16, 2011
- 228
- 134
Acheni ubabaishaji Muogole anaweza nini?Muogole anachojua ni utawala tu lakini uwezo wa kiintelijensi kuchambua taarifa hawezi,RO alipoingia kwa kiwa ni rafiki yake akampeleka Muogole ubalozini Brazil baadae akamletea ikulu kama mkuu wa utawala lakini JPM alipoingia akamrudisha TISS yuko dawati la mambo ya nje (DEO) chini ya bosi wake Mobali Matinyi mhariri. wa zamani wa gazeti la Majira