UncleBen
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 9,598
- 11,993
Hee yaani hata picha ya Director anayekaimu hiyo nafasi ni tatizo ??Duh! Ili iwe nini?
Hee yaani hata picha ya Director anayekaimu hiyo nafasi ni tatizo ??Duh! Ili iwe nini?
Ili tumfahamu mkuu wetu wa usalama mpya kama tulivyomjua aliyetangulia kwa picha mkuuDuh! Ili iwe nini?
Tusubiri kwenye hafla mbalimbali tutamuona. Kwani huyu aliyemaliza muda wake tulikuwa nayo tangu awali?Hee yaani hata picha ya Director anayekaimu hiyo nafasi ni tatizo ??
Mkuu uyo mchungaji au aliyesimama nyuma ya kiongozi wa ukuta?View attachment 385675
Huyu hapa
Mkuu, nimekutafunia hata kumeza unataka nikumezee?Mkuu uyo mchungaji au aliyesimama nyuma ya kiongozi wa ukuta?
Kama ameshakuwa apointed hakuna kitu cha kuficha hapo tenaTusubiri kwenye hafla mbalimbali tutamuona. Kwani huyu aliyemaliza muda wake tulikuwa nayo tangu awali?
Teh teh teh ngoja nitafute maji yalipo ili nimeze vizuri,kiongozi wa ukuta aliniziba mkuuMkuu, nimekutafunia hata kumeza unataka nikumezee?
Haya tuwekee basi hiyo picha yakeKama ameshakuwa apointed hakuna kitu cha kuficha hapo tena
Na ndio maana umeona hapo ametajwa kwa jina lake
Kwikwikwikwikwiiiii!Teh teh teh ngoja nitafute maji yalipo ili nimeze vizuri,kiongozi wa ukuta aliniziba mkuu
Ni kweli Julius Mogole alimudu sana masuala ya huduma mbali mbali pale Mjengoni lakini uteuzi uliofanyika nina imani umezingatia mambo mengi ya kitaalam
Haya tuwekee basi hiyo picha yake
Ahsante Mkuu.
Kuuliza si ujinga,ivi mbobezi ambaye ni mtu aliyebeboa kwenye hii idara anatakiwa awaje?Uteuzi bado haujafanyika, huyo Madafu anakaimu nafasi hiyo ili kusubiri Rais ateue Director Mpya,
kwa kweli Julius Mogore ni mtu wa watu na hana Makuu kabisa, na jamaa kabobea sana hayo maswala, naamini Rais hatafanya kosa kumuacha huyu.
Nasubiria sina haraka
Sijakuelewa MkuuNasubiria sina haraka
Picha kila mtu anatuma watu tofauti tofauti ili kutuhamanisha ndio kaimu mkurugenzi wa iyo idara mkuuSijakuelewa Mkuu
Kuuliza si ujinga,ivi mbobezi ambaye ni mtu aliyebeboa kwenye hii idara anatakiwa awaje?
Sawa Mkuu basi acha tu kuamini mpaka utakapo jiridhisha mwenyewePicha kila mtu anatuma watu tofauti tofauti ili kutuhamanisha ndio kaimu mkurugenzi wa iyo idara mkuu
Mkuu nakushukuru kwa kuweka sawa maelezo yangu, basi tusubiri uteuzi wake Mh.Uteuzi bado haujafanyika, huyo Madafu anakaimu nafasi hiyo ili kusubiri Rais ateue Director Mpya,
kwa kweli Julius Mogore ni mtu wa watu na hana Makuu kabisa, na jamaa kabobea sana hayo maswala, naamini Rais hatafanya kosa kumuacha huyu.