CM 1774858
JF-Expert Member
- May 29, 2021
- 5,004
- 4,113
Ila CCM muishukuru sana NMB kwa kutekeleza Ilani
Kila mtu hapa Tanzania anatekeleza Ilani ya chama hata Wewe piaIla CCM muishukuru sana NMB kwa kutekeleza Ilani
Ndio wapi huko mkuu?Naibu Waziri Mkuu, nipo gizani kabisa,hiki cheo kipo kikatiba?na nini hasa wajibu wake?,huku lingusenguse hatuna umeme miaka zaidi ya 60 ya kujitawala
🙏🏿🙏🏿🙏🏿 Very trueTanzania inahazina kubwa ya vijana wengine ni hawa wa NMB
🙏🏿🙏🏿🙏🏿Ila CCM muishukuru sana NMB kwa kutekeleza Ilani
Uteuzi wa Dotto ni Uteuzi sahihi sanaView attachment 2825611
===
Viongozi kutoka Benki ya NMB wakiongozwa na Afisa Mtendaji Mkuu Wetu - Bi. Ruth Zaipuna, wamekutana na kufanya mazungumzo na Naibu Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Dotto Biteko ofisini kwake Jijini Dar es Salaam leo.
Pamoja na mambo mengine, wamempongeza Mhe. Naibu Waziri Mkuu kwa kuteuliwa kushika wadhifa huo na tumemuahidi ushirikiano katika juhudi za kuwaletea wananchi maendeleo. Benki inamtakia kila la kheri katika kutekeleza majukumu yake.
View attachment 2825624
Tunapozungumzia kasi kubwa ya maendeleo ya Tanzania na Watanzania ni ngumu kuitengenisha benki hii ya NMB na Benki zingine na mafanikio hayo toka vijijini mpaka mjini, toka kwa wafanyabiashara wadogo mpaka wafanyabiashara wakati na wale mabilionea.
Mwanzoni na baada ya kuasisiwa kwake ilidhaniwa kuwa hakuna mtoto wa Kitanzania anayeweza kuiongoza Benki hii ya NMB PLC inayokua kwa kasi isipokuwa Wazungu wenye mali,
Uthubuti wa Bodi ya Wakurugenzi chini ya Mwenyekiti wake Dkt Edwin Mhede wa kumteua Mwanamama wa Kitanzania Bi. Ruth Zaipuna pamoja na Wasaidizi wake imekuwa ni chachu ya mafanikio makubwa na yaharaka ambayo hata wazungu ambao ndio wenye hisa nyingi katika Benki hiyo naamini hawakuyatarajia,
Baada ya safari ndefu ya Benki hii chini ya wageni leo tunashuhudia watoto wa Kitanzania yaani Bi. Ruth Zaipuna na Dkt Dotto Biteko wakijadili namna ya kulisaidia Taifa lao kwa pamoja ili Kila Mtanzania mwenye hitaji la Biashara na mwenye Sifa stahiki apewe mkopo kwa haraka na kwa riba nafuu.
...........Kazi iendelee..........
NMB ni watu wazuri sanaUkiona nyumba inauzwa jua mteja alipewa pesa nyingi kuliko uwezo wake OffOnline
Hiki Kijiji kipo wapi?Naibu Waziri Mkuu, nipo gizani kabisa,hiki cheo kipo kikatiba?na nini hasa wajibu wake?,huku lingusenguse hatuna umeme miaka zaidi ya 60 ya kujitawala
Nahisi tu huyu dada atakuwa fiti kwenye brainView attachment 2825611
===
Viongozi kutoka Benki ya NMB wakiongozwa na Afisa Mtendaji Mkuu Wetu - Bi. Ruth Zaipuna, wamekutana na kufanya mazungumzo na Naibu Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Dotto Biteko ofisini kwake Jijini Dar es Salaam leo.
Pamoja na mambo mengine, wamempongeza Mhe. Naibu Waziri Mkuu kwa kuteuliwa kushika wadhifa huo na tumemuahidi ushirikiano katika juhudi za kuwaletea wananchi maendeleo. Benki inamtakia kila la kheri katika kutekeleza majukumu yake.
View attachment 2825624
Tunapozungumzia kasi kubwa ya maendeleo ya Tanzania na Watanzania ni ngumu kuitengenisha benki hii ya NMB na Benki zingine na mafanikio hayo toka vijijini mpaka mjini, toka kwa wafanyabiashara wadogo mpaka wafanyabiashara wakati na wale mabilionea.
Mwanzoni na baada ya kuasisiwa kwake ilidhaniwa kuwa hakuna mtoto wa Kitanzania anayeweza kuiongoza Benki hii ya NMB PLC inayokua kwa kasi isipokuwa Wazungu wenye mali,
Uthubuti wa Bodi ya Wakurugenzi chini ya Mwenyekiti wake Dkt Edwin Mhede wa kumteua Mwanamama wa Kitanzania Bi. Ruth Zaipuna pamoja na Wasaidizi wake imekuwa ni chachu ya mafanikio makubwa na yaharaka ambayo hata wazungu ambao ndio wenye hisa nyingi katika Benki hiyo naamini hawakuyatarajia,
Baada ya safari ndefu ya Benki hii chini ya wageni leo tunashuhudia watoto wa Kitanzania yaani Bi. Ruth Zaipuna na Dkt Dotto Biteko wakijadili namna ya kulisaidia Taifa lao kwa pamoja ili Kila Mtanzania mwenye hitaji la Biashara na mwenye Sifa stahiki apewe mkopo kwa haraka na kwa riba nafuu.
...........Kazi iendelee..........
Benki kwa Tanzania ni NMB tuache maneno maneno. Mimi naipenda sana japo bado Sina pesa badoView attachment 2825611
===
Viongozi kutoka Benki ya NMB wakiongozwa na Afisa Mtendaji Mkuu Wetu - Bi. Ruth Zaipuna, wamekutana na kufanya mazungumzo na Naibu Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Dotto Biteko ofisini kwake Jijini Dar es Salaam leo.
Pamoja na mambo mengine, wamempongeza Mhe. Naibu Waziri Mkuu kwa kuteuliwa kushika wadhifa huo na tumemuahidi ushirikiano katika juhudi za kuwaletea wananchi maendeleo. Benki inamtakia kila la kheri katika kutekeleza majukumu yake.
View attachment 2825624
Tunapozungumzia kasi kubwa ya maendeleo ya Tanzania na Watanzania ni ngumu kuitengenisha benki hii ya NMB na Benki zingine na mafanikio hayo toka vijijini mpaka mjini, toka kwa wafanyabiashara wadogo mpaka wafanyabiashara wakati na wale mabilionea.
Mwanzoni na baada ya kuasisiwa kwake ilidhaniwa kuwa hakuna mtoto wa Kitanzania anayeweza kuiongoza Benki hii ya NMB PLC inayokua kwa kasi isipokuwa Wazungu wenye mali,
Uthubuti wa Bodi ya Wakurugenzi chini ya Mwenyekiti wake Dkt Edwin Mhede wa kumteua Mwanamama wa Kitanzania Bi. Ruth Zaipuna pamoja na Wasaidizi wake imekuwa ni chachu ya mafanikio makubwa na yaharaka ambayo hata wazungu ambao ndio wenye hisa nyingi katika Benki hiyo naamini hawakuyatarajia,
Baada ya safari ndefu ya Benki hii chini ya wageni leo tunashuhudia watoto wa Kitanzania yaani Bi. Ruth Zaipuna na Dkt Dotto Biteko wakijadili namna ya kulisaidia Taifa lao kwa pamoja ili Kila Mtanzania mwenye hitaji la Biashara na mwenye Sifa stahiki apewe mkopo kwa haraka na kwa riba nafuu.
...........Kazi iendelee..........
Benki kwa Tanzania ni NMB tuache maneno maneno. Mimi naipenda sana japo bado Sina pesaView attachment 2825611
===
Viongozi kutoka Benki ya NMB wakiongozwa na Afisa Mtendaji Mkuu Wetu - Bi. Ruth Zaipuna, wamekutana na kufanya mazungumzo na Naibu Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Dotto Biteko ofisini kwake Jijini Dar es Salaam leo.
Pamoja na mambo mengine, wamempongeza Mhe. Naibu Waziri Mkuu kwa kuteuliwa kushika wadhifa huo na tumemuahidi ushirikiano katika juhudi za kuwaletea wananchi maendeleo. Benki inamtakia kila la kheri katika kutekeleza majukumu yake.
View attachment 2825624
Tunapozungumzia kasi kubwa ya maendeleo ya Tanzania na Watanzania ni ngumu kuitengenisha benki hii ya NMB na Benki zingine na mafanikio hayo toka vijijini mpaka mjini, toka kwa wafanyabiashara wadogo mpaka wafanyabiashara wakati na wale mabilionea.
Mwanzoni na baada ya kuasisiwa kwake ilidhaniwa kuwa hakuna mtoto wa Kitanzania anayeweza kuiongoza Benki hii ya NMB PLC inayokua kwa kasi isipokuwa Wazungu wenye mali,
Uthubuti wa Bodi ya Wakurugenzi chini ya Mwenyekiti wake Dkt Edwin Mhede wa kumteua Mwanamama wa Kitanzania Bi. Ruth Zaipuna pamoja na Wasaidizi wake imekuwa ni chachu ya mafanikio makubwa na yaharaka ambayo hata wazungu ambao ndio wenye hisa nyingi katika Benki hiyo naamini hawakuyatarajia,
Baada ya safari ndefu ya Benki hii chini ya wageni leo tunashuhudia watoto wa Kitanzania yaani Bi. Ruth Zaipuna na Dkt Dotto Biteko wakijadili namna ya kulisaidia Taifa lao kwa pamoja ili Kila Mtanzania mwenye hitaji la Biashara na mwenye Sifa stahiki apewe mkopo kwa haraka na kwa riba nafuu.
...........Kazi iendelee..........