Mkurugenzi Mkuu ATCL: Hatuwezi kuweka wazi idadi ya abiria waliokata ticket za Dreamliner kwa sababu za kibiashara

Wanasiasa mngesoma hili nafikiri akili ya kisiasa isingewaongoza kusema hayo ya kisiasa "Ni ndege yetu na shirika hili ni la umma lakini hiyo haibadilishi sheria za mchezo, kwenye biashara sheria zinabaki vilevile." Kaisema vizuri ila kama akili yako ni ya kupinga kila jambo ni haki yako kuitafutia upinzani!

 
ukiona wanafichaficha ujue kwamba wanaenda mswaki .
Acheni kubeza kila kitu, tatizo akili zetu kama nyumbu mmoja akikoment upupu wooooote kama mazombi tunabeza. Ingia TOVUTI ya ATCL then jifanye unataka ticket hata ya kesho ulete majibu! Almost SOLD OUT through out a week. Halafu mazwazwa wanasema mswaki, mapimbi yatapata sana sheeedar
 
Hongereni sana,pigeni kazi,msituaibishe.
 
Ndege inapofanya safari, ni round trip, kwenda na kurudi.

P.
 
Kuna watu watasafirishwa bure ili kujaza ndege. Kama CCM wakati wa uchaguzi wanavyobeba watu kuwapeleka kwenye mikutano ya kampeni ili waonekane wamejaza uwanja.

Nilikuwa nafikiri weeee, kwanini iwe siri kutajwa nafasi tu ambazo ni booked.....sbb za CEO wala hazikuniingia!!

Lakini all the way, naona wewe umenipa jibu na hakika hiki ndicho kitakachofanyika!!

Nakubaliana na wewe kabisa kwa kuzingatia tabia ya "Jiwe" jinsi zilivyo....

Wewe kama tu siku ile ndege inafika kutoka dukani kununuliwa Jiwe akaamurisha viongozi wakuu wa karibu serikali nzima mpaka marais wastaafu kuwa uwanjani kuipokea na kuipungia mikono Dreamliner 787 - 8 ikitua atashindwaje kuamuru wajumbe wote wa NEC - CCM kwenda kujaza viti ili kutwa nzima wawe wanazunguka nayo ili waseme "nauli iko poa, Dreamliner imejaa watanzania wanyonge " !!???
 
Last edited:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…