PreGE2025 Mkurugenzi INEC Ramadhan Kailima: Tume huwa haikati majina ya wagombea kwa matakwa yake

PreGE2025 Mkurugenzi INEC Ramadhan Kailima: Tume huwa haikati majina ya wagombea kwa matakwa yake

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Mkalukungone Mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
2,437
Reaction score
5,234
Tume huwa haikati majina ya wagombea kwa matakwa yake…tume huwa inakata kutokana na makosa kwa mujibu wa sheria na kanuni zilizotungwa na Bunge…” - Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Ramadhan Kailima akivisihi vyama vya siasa kutulia wakati wa ujazaji wa fomu ili kuepuka kuenguliwa kwa mujibu wa sheria na kanunu za uchaguzi.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Soma Pia: INEC: Chama kisichosaini kanuni za maadili ya uchaguzi, hakitashiri Uchaguzi

 
Basi sawa

Watu wanatokea mbali sana!.jpg
 
Tume huwa haikati majina ya wagombea kwa matakwa yake…tume huwa inakata kutokana na makosa kwa mujibu wa sheria na kanuni zilizotungwa na Bunge…” - Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Ramadhan Kailima akivisihi vyama vya siasa kutulia wakati wa ujazaji wa fomu ili kuepuka kuenguliwa kwa mujibu wa sheria na kanunu za uchaguzi.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Inapewa maelekezo toka juu
 
Huyu mshenzi na mpuuzi wa mwisho hajui kuwa CCM wakishirikiana na wasimamizi huwa wana edit majina ya wapinzani kwa kuongeza herufi ili wawaengue. Sisi tunasema hakuna mgombea kuenguliwa maana kimekuwa kichaka cha wahuni wa Samia kujipigia.

No reform No election!
 
Huyu mshenzi na mpuuzi wa mwisho hajui kuwa CCM wakishirikiana na wasimamizi huwa wana edit majina ya wapinzani kwa kuongeza herufi ili wawaengue. Sisi tunasema hakuna mgombea kuenguliwa maana kimekuwa kichaka cha wahuni wa Samia kujipigia.

No reform No election!
Anajua kila kitu na anashiriki
 
Uwezo wako wa kuelewa ni mdogo mno
Wewe wa kwako ni mkubwa sana ndio maana unaamini utazuia Uchaguzi Mkuu usifanyike lakini umeshindwa kumsaidia kinara wa kuzuia Uchaguzi Mkuu usifanyike asikamatwe! Na bado. Mpaka chech up atafanyia Lugalo! Nyambafu!!!!
 
Tume huwa haikati majina ya wagombea kwa matakwa yake…tume huwa inakata kutokana na makosa kwa mujibu wa sheria na kanuni zilizotungwa na Bunge…” - Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Ramadhan Kailima akivisihi vyama vya siasa kutulia wakati wa ujazaji wa fomu ili kuepuka kuenguliwa kwa mujibu wa sheria na kanunu za uchaguzi.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Soma Pia: INEC: Chama kisichosaini kanuni za maadili ya uchaguzi, hakitashiri Uchaguzi


Watasema yote mwaka huu
 
Back
Top Bottom