Huku mtaa wa CCT kuna jambo letu! Ole wako uvuke korongo na kuingia hifadhi, wajanja wanakuuzia shamba! Mpaka kiwanja! Ukija kushtuka, Mali asili wanakubomolea!
Sijawahi kuelewa kwanini hawajengi BANGO tofali 20 Tu na kupaka rangi na kutahadharisha UNAINGIA HIFADHI!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.