mi nikikutana na mkulo kwenye mdahalo kusema tuaze hoja naona kama nitapoteza muda naanza kwa kumpa kipigoMkulo wewe ndio chanzo cha kila kitu, soma nyakati mzeee.
mi nikikutana na mkulo kwenye mdahalo kusema tuaze hoja naona kama nitapoteza muda naanza kwa kumpa kipigoMkulo wewe ndio chanzo cha kila kitu, soma nyakati mzeee.
Hivi TISS na TAKUKURU kazi yao ni nini hasa!
Hivi TISS na TAKUKURU kazi yao ni nini hasa!
Napata mashaka sana kama vyombo hivi vinafanya kazi yake ipasavyo! Kuna madudu mengine yanafanywa na viongozi/watawala yanatia aibu....yaani watu hawana woga tena!TISS kazi hufanya kwa siri. TAKUKURU wanapambana na rushwa na mwisho wa siku kazi zao huishia mahakamani hivyo inabidi wawe na ushahidi mzito ili washinde kesi. ndio maana uchunguzi wao huchukua muda mrefu. mfano kesi ya liumba.
kwa kweli....na hili ndio priority yao ya kwanza!Kulinda maslahi ya viongozi wa serikali
Kazi yao ni kula bata na kuku kwa mrija,kuna haja pia kuangalia vipato vya wakubwa wa hizi taasisi mbili nyeti yaani bwana Hosea na hyo wa TISS (lakini pia hata kama wakishikwa na makosa huyu wa TISS ndugu yake ndiye jaji mkuu sasa sijui itakuwaje,mi nashangaa kwanza kwa raisi JK kuwateua wana ndugu wawili kuongoza taasisi nyeti mbili tofauti,hivi kweli mmojawapo akikosea kweli sheria inaweza kufuata mkondo wake ?sidhani,kwani damu ni nzito kuliko maji,sidhani kama mkurugenzi wa TISS anaweza kumchunguza ndugu yake ambaye ni Jaji mkuuHivi TISS na TAKUKURU kazi yao ni nini hasa!