Mkulima wa Kakao aonja Chocolate kwa x1!!

Mkulima wa Kakao aonja Chocolate kwa x1!!

Kijakazi

Platinum Member
Joined
Jun 26, 2007
Posts
9,303
Reaction score
14,969
Nimeipata hii habari kwamba huko Ivory Coast nchi ambayo inaoongoza kwa Kulima na kuuza kakao (ghafi) wakulima wake hawajawahi kuonja chocolate ktk maisha yao!

Chocolate ambayo hutengenezwa ktkna na Kakao yaani kama kwetu mkulima wa Kahawa wa Kagera au KLM awe hajawahi kuonja kikombe cha Kahawa Maishani mwake kwa maana nyingine hajui Kahawa ina ladha gani.

Wakati huo huo Matakataka ya Afrika yapo Washington, Marriott Hotel na kuongea mambo magumu kutekelezeka kama sijui Gas industry wakati vitu rahisi kama hivi vinatushinda, jione mwenyewe na hukumu mwenyewe!


 
Last edited by a moderator:
Hii video kwangu haitoi sauti, nimeshidwa kuifuatilia!
 
mkuu niliangalia kipind cha richard quest cnn akawa anawauliza kama wale wakulima wameshawahi kuonja choclate wakasema hawajawahi richard akawapa aisee nilijisikia vibaya sana manake richard alivyowaambia thats is your cocoa hawakuamini kwa sababu wao wamezoea kulima tu cocoa ila hawaifahamu kabisa radha ya choclate ikoje
 
Sad fact about Africa we produce what we don't consume and consume what we don't produce.
 
Back
Top Bottom