Kazitunayo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2013
- 3,784
- 3,205
Mbunge wa Muhambwe, Felix Mkosamali amemuambia Henry Shekifu akome kuwaita watoto wadogo kwani hakuna mtoto mdogo anayeweza kuigaragaza CCM vibaya pia aeleze kuhusu ile ripoti ya Msemakweli kuwa ana vyeti vya kufoji kuwa Dkt (PhD).