nenda akses bank masharti yao ni nafuu,Natafuta mtu anaekopesha kwa riba.naitaji mkopo.plz
nenda akses bank masharti yao ni nafuu,
sasa ww unataka wasidai???? mkopo wowote kuzingatia muda ni muhimu na lazima!!!Wanadai dunia nzima hao.utajuta! kopa lakini si hao.wanadhalilisha mno tena kwa default hata ya siku moja!
sasa ww unataka wasidai???? mkopo wowote kuzingatia muda ni muhimu na lazima!!!
benk gani ni nzuri sasa yenye masharti nafuu na riba ndogo?Usiombe ndugu yangu,mimi nimekopa benki tofauti tofauti lakini hao jamaa wamezidi,Waliwahi kumpa pressure mtu wangu wa karibu kwa jambo dogo sana hadi akajuta kukopa pale.
Tatizo sio kudai bali hawana ustaarabu muda mfupi wameshakuja kusomba mali zako na madai mengine kibao hata kama umekuwa ukilipa vizuri tu huko nyuma.
benk gani ni nzuri sasa yenye masharti nafuu na riba ndogo?
azania / akiba masharti yao ni nafuu wanatoa mkopo fasta within a week?Nenda Azania au Akiba.
azania / akiba masharti yao ni nafuu wanatoa mkopo fasta within a week?
nilitaka mil15 akses na hawakuniambia hata kuhusu hati ya nyumba, waliniambia tu wanataka risiti ya kodi majengo na karatasi za luku/mita na barua ya serikali za mtaa, na wakaniambia nikikamilisha within a week napata mkopo!
Wanadai dunia nzima hao.utajuta! kopa lakini si hao.wanadhalilisha mno tena kwa default hata ya siku moja!