Mtendaji wa kaya
JF-Expert Member
- Mar 16, 2014
- 334
- 59
Naleta swali la ndugu yangu ambaye ni
mwajiriwa miezi miwili sasa! mshahara wake ni
laki sita na hamsini na ushee hela za kitanzania!
anataka kuomba mkopo wa milioni 10 benki
yoyote japokuwa mshahara wake unapitia
NMB,kama nilivyosema ana miezi miwili tu
kwenye utumishi! je anaweza kupata kiasi hicho
cha pesa kwa haraka? riba yake ni kiasi gani na
kama si benki ni wapi anaweza kupata mkopo
huo kwa riba nafuu? Lengo la mkopo ni kununua
gari! Nawasilisha
mwajiriwa miezi miwili sasa! mshahara wake ni
laki sita na hamsini na ushee hela za kitanzania!
anataka kuomba mkopo wa milioni 10 benki
yoyote japokuwa mshahara wake unapitia
NMB,kama nilivyosema ana miezi miwili tu
kwenye utumishi! je anaweza kupata kiasi hicho
cha pesa kwa haraka? riba yake ni kiasi gani na
kama si benki ni wapi anaweza kupata mkopo
huo kwa riba nafuu? Lengo la mkopo ni kununua
gari! Nawasilisha