Mkopo wa laki 5 unatafutwa

Mkopo wa laki 5 unatafutwa

Mkuu ukipata wa kukukopesha na mimi nikopeshe elfu hamsini nikalipie pango nitakulipa mwisho wa mwezi....

Mkuu ulifanikiwa? Kama ulifanikiwa na mimi nikope elfu kumi nitarudisha kabla ya march mkuu
 
Mkuu tatzo ni uaminifu na mbaya zaidi humu hatufahamani. Je ww uko mkoa gani? Unaweza kupata mkopo kwa riba. Utaazimwa kwa lakimoja riba inakuwa 30 kwamaana hyo kama unaazima laki moja utatakiwa urejeshe laki na 30 sasa piga hesabu kwahyo laki tano yako utarejesha kiasi gani? Kama uko tayar nitumie pm particular zako nione kama unaweza kukopesheka ila vigezo na mashari kuzingatiwa.
Umbali,
Wadhamin wanaoaminika au hati ya kiwanja au nyumba, hvyo ni baadhi.
Karibu
 
Ujue kuna kitu kimoja.

Maishani mwangu huwa naogopa sana, kudai au kudaiwa.

Na mara nyingi imenitokea sana, ninapowakopesha watu, basi ujue kulipana inakuwa usumbufu.

Kwahiyo kuepukana na usumbufu kama huo.

Nimejiwekea utaratibu mmoja, iwapo kama nitajitolea kukusaidia basi ni bora tusaidiane kuliko kudaiana.

Inasaidia sana, kichwani mwako inakuwa haipo ni kama ile unayotumia.

Cha mwisho, Kuna baadhi ya Binaadam tunapenda sana kusaidiana lakini tatizo linakuja watu wengi si waaminifu.

Mtu anaweza kukuambia ana shida fulani, kumbe ni uongo wa kutaka kujipatia Pesa kiulaini.

Mleta mada, sijakulenga wewe usijisikie vibaya.

Kwenye mada yako nimepata upenyo wa kuzungumza hali halisi ya kinachoendelea kwenye jamii zinazotuzunguka.

Binaadam tumekuwa tunaogopana linapokuja suala la Pesa, kiasi kwamba hata yule mwenye shida ya kweli watu wanashindwa kumsaidia, kutokana na watu wasio waaminifu kuwaharibia wenzao.

Nakutakia kila la kheri, ufanikishe kutatua tatizo lako
 
Ujue kuna kitu kimoja.

Maishani mwangu huwa naogopa sana, kudai au kudaiwa.

Na mara nyingi imenitokea sana, ninapowakopesha watu, basi ujue kulipana inakuwa usumbufu.

Kwahiyo kuepukana na usumbufu kama huo.

Nimejiwekea utaratibu mmoja, iwapo kama nitajitolea kukusaidia basi ni bora tusaidiane kuliko kudaiana.

Inasaidia sana, kichwani mwako inakuwa haipo ni kama ile unayotumia.

Cha mwisho, Kuna baadhi ya Binaadam tunapenda sana kusaidiana lakini tatizo linakuja watu wengi si waaminifu.

Mtu anaweza kukuambia ana shida fulani, kumbe ni uongo wa kutaka kujipatia Pesa kiulaini.

Mleta mada, sijakulenga wewe usijisikie vibaya.

Kwenye mada yako nimepata upenyo wa kuzungumza hali halisi ya kinachoendelea kwenye jamii zinazotuzunguka.

Binaadam tumekuwa tunaogopana linapokuja suala la Pesa, kiasi kwamba hata yule mwenye shida ya kweli watu wanashindwa kumsaidia, kutokana na watu wasio waaminifu kuwaharibia wenzao.

Nakutakia kila la kheri, ufanikishe kutatua tatizo lako
Jitolee kumsaidia
 
Back
Top Bottom