MTAFUTAJIHALISI
Member
- Sep 23, 2011
- 15
- 1
Wana JF, naombeni msaaada wenu wa mkopo wa Tshs Mil 4, ambapo kila mwezi nitalipa riba na kurudisha mkopo baada ya miezi minne. malipo ya riba kila mwisho wa mwezi. nina shida sana na kiasi hicho. ninaweza kutoa kadi ya gari nissan skyline lakini pia nina nyumba japo haina hati. natanguliza shukrani kwa aliye tayari kunisaidia. nipo tayari kutoa riba ya 10% kila mwezi. Mungu awabariki, nipo wakati mgumu sana, pia unaweza kupata mdhamini toka ofisini kwangu, ili upajua na ofisini kwangu. waweza nipigia simu +255 719 473879