Mkopo wa haraka unatakiwa

Mkopo wa haraka unatakiwa

Kashaija

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2008
Posts
255
Reaction score
64
Jamaa yangu mmoja aliniuliza jana, ni wapi anaweza kupata mkopo wa haraka Tsh. 1.5m ili akalipie ushuru wa mali yake bandarini halafu atarudisha ndani ya mwezi mmoja with 10% interest.

Yuko tayari kuweka hati ya nyumba yake kama dhamana. Kwa yeyote anayejua sehemu ya aina hii tafadhali anaombwa msaada.
 
Jamaa yangu mmoja aliniuliza jana, ni wapi anaweza kupata mkopo wa haraka Tsh. 1.5m ili akalipie ushuru wa mali yake bandarini halafu atarudisha ndani ya mwezi mmoja with 10% interest.

Yuko tayari kuweka hati ya nyumba yake kama dhamana. Kwa yeyote anayejua sehemu ya aina hii tafadhali anaombwa msaada.


...kwa hawa wakopeshaji wetu wa mitaani, kukupa milioni 1.5 yake halafu baada ya siku 30 umrejeshee laki Moja na Nusu tu sidhani kama utawapata wengi. Wengi, akikupa shilingi milioni moja yake kwa siku thelathini riba ni kati ya laki mbili unusu hadi tatu. kwa milioni 1.5 fanya mahesabu mwenyewe hapo!
 
Ila watu wezi kweli jamani mnashindwa kuwa waungwana walau hata 5 perecent ili upate wengi wa kuja kukopa na at the same time unamake profit. What is 10% by the way? Uroho wa fedha huo.

I wish i have ningempa kwa 1%.
 
usiombe huwe na shida kama ya huyo mshikaji, kwanza lazima hapo atakuwepo mtu wa kati na huyo mtu wa kati katika hiyo 1.5 anataka ka % kake, bongo noma ukiwa na shida, kuna mijitu haifanyi kazi wala nini yeye kazi yake kukopesha watu, hata kama umefiwa yani ni lazima utoe hiyo 30%. sijui tukoje nashindwa kuelewa.
 
Ila watu wezi kweli jamani mnashindwa kuwa waungwana walau hata 5 perecent ili upate wengi wa kuja kukopa na at the same time unamake profit. What is 10% by the way? Uroho wa fedha huo.

I wish i have ningempa kwa 1%.


You Wish. It Is A Cut-Throat, Survive of the Fittest World Out There, My Dear!🙂
 
Ila watu wezi kweli jamani mnashindwa kuwa waungwana walau hata 5 perecent ili upate wengi wa kuja kukopa na at the same time unamake profit. What is 10% by the way? Uroho wa fedha huo.

I wish i have ningempa kwa 1%.

tuseme hii ni akili au matope? umeona wapi interest kama za mapendekezo yako....mimi natoa kwa riba ya 1.5% kwa siku moja tu.....
 
kuna siku nyingine huwa sina majibu
miaka ya nyuma tulivyokuwa tukisimuliwa hadithi za ali na cha tulikuwa tunaona hazina maana likini kwa dunia ya sasa ni ya maana sana.
kwa ujumla hadithi hizi zilikuwa zinatufundisha plan kwanza
lakini tumekuwa tunapenda kufanya kazi kwa zima moto
nafikiri imefika wakati tuanze na mipango kwanza
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom