Lulu92
Member
- Aug 14, 2017
- 27
- 7
Habari wapendwa nimepata matatizo nina shida ya mkopo wa dharula kwa waliopo Morogoro au popote pale nipo tayari kwa riba yoyote tareh 28 narudisha au kabla ya hapo, au kama kuna mtu anafahamu wanapotoa mikopo ya dharula kwa Morogoro naomba anielekeze tafadhali, nipo tayari kwa riba yoyote.
