Mkopo kwa GPA ya 3.0

Mkopo kwa GPA ya 3.0

Sijajua mwaka huu, sisi tuliokuwa vyuon 98% diploma hamna mwenye mkopo,ila kama ulisoma diploma mwaka jana ndo ulimaliza na mwaka huu umeomba chuo kikuu au umetumia vyeti vya advance ndo unaweza pata kuna watu fresh from school wamekosa sembuse wewe wa diploma wao wanajua umeshaajiriwa
 
Mkopo ujue bahati ila kwa walioxoma dip utakuta kwenye wanachuo 3000 wanachuo 20 ndo wanaweza pata,na wao walitumia vyeti vya form six na vya kuriseat kwa maana kuwa chet chake kinaonyesha form six amemaliza 2016 au 2015 hapo lazima apate wanajua alikuwa hana ajira.
Na kwa miaka ya nyuma wote walikuwa wanapata diploma ila xaxa dip no boom,kama mim muongo tutakuta vyuo kwan mda ushafika na wengi huwa wanaacha chuo baada ya kukosa mkopo kwakuwa hawajiandai kabla na hasa vyuo vya private
 
Kama mna wenyenu wamewatangulia wa diploma unamfaham yupo chuo anaxoma muulize atakuambia, usiandikie mate wakati wino upo
 
Kama umeomba chuo halafu wa dipo ukianza chuo lazima uwe na not les than m1.5 kwa chuo cha private la sivyo chuo kitakuja kukushinda tu, usifikiri kule sekondari na mitihan yako yote utafanya special tuu
 
Back
Top Bottom