Mkono

Globu

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2011
Posts
9,096
Reaction score
2,606
Jamaa alikatika mkono mmoja, akaona maisha yanakuwa magumu. Akapanda ghorofani ajitupe chini. Kabla hajajitupa akamuona jamaa hana mikono yote miwili akirukaruka kwa furaha. Akamuuliza 'mbona unaruka kwa furaha wakati huna mikono yote? Jamaa akajibu ''Furaha wapi, hapa M K U N D U unawasha nashindwa kujikuna!!!'
 
anapenda kula kulala? nheeee
 
Ha ha ha ha ha! Uwiii! Sina mbavu jamani.... Hiyo kuliko zote.. Jf ts noma
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…