wizaga
Member
- Nov 27, 2011
- 70
- 8
nifuraha ilioje kwa serikali kufikia uamuzi wa kuongeza speed au pakage zitumike kwa mawasiliano ambayo kwa muda mwingi tumekuwa tukipoteza hasa muda ,sasa tutapata vitu vingi kupitia njia hii rahisi .changamoto iliyopo ni ulizi dhidi ya watu wasioeleweka wanaoharibu tuulinde kwa nguvu zote wana jf hatuwezi kuwasiliana bila njia kama hii