Mkomoe mwanga

Mkomoe mwanga

je mshana jr kama umepatwa na tatizo hilo tafadhali tufahamishe jinsi kutibu baada mlipa kisasi kulipa kisasi kulipa kisasi dawa kujiponyesha mwaga mboga baada ya kumwaga ugali
 
Endapo ukichukua unyayo wa mtu ambaye sio mwanga, je hayo matatizo yatampata?
 
Endapo ukichukua unyayo wa mtu ambaye sio mwanga, je hayo matatizo yatampata?
Hapana kwakuwa moyoni mwake hana nia ovu labda tu manuizi yako yalenge kumdhuru
 
je mshana jr kama umepatwa na tatizo hilo tafadhali tufahamishe jinsi kutibu baada mlipa kisasi kulipa kisasi kulipa kisasi dawa kujiponyesha mwaga mboga baada ya kumwaga ugali
Asilimia kubwa ya wanga sio wachawi na wengi hufanya kwa kujifurahisha tatizo ni pale utakapokutana na mchawi mwanga
 
Leo nafundisha live...!!! Kwa wale wasiopenda natanguliza kuomba radhi TUVUMILIANE kuna baadhi wanaohangaishwa yatawafaa

Wanga ni watu hovyo sana hukufanyia mambo ya kukuchosha mwili na vitu vya ajabu ajabu bila faida yoyote
Hivyo basi mtu wa kaliba naye hana budi kupata shida kidogo pale inapobidi

Tafuta ufanikiwe kupata mchanga wa nyayo zake akiwa peku,tafuta ndulele tatu jivu pilipili kichaa au ----- na kipande kidogo cha kaniki....changanya vyote ikibidi twanga ongeza na matone kadhaa ya damu yako kisha funga kaza sana kwenye kipande cha kaniki
1. Sigina na kisigino huku ukinuizia kama unataka miguu imuume
2. Choma na sindano ukitaka miguu ichome chome
3. Banika motoni ukitaka miguu yake iwake moto
4. Kaanga kwenye kikaango kikavu ukitaka miguu imuwashe
Fanya hivi kama unaamini hizi mambo na una roho mbaya ya visasi...kumbuka kuna hukumu siku ya kiama
Sihusiki na matokeo ya matendo yako
Hauwezi kufanikiwa na tabia zako kufundisha watu uchawi na ulozi, kumbuka hapa duniani Mungu ni mmoja tu aliyeumba Mbingu na nchi na atabakia hivyo milele.
Hayo matakataka na mauchafu yako unayofundisha watu hayana maana na unadhihirisha ni namna gani akili yako ilivyodumaa.
Haueleweki mara unaipondea serikali ya Rais JPM na utawala wake mara unafundisha watu uchawi na ulozi, mambo yote utashindwa sababu tayari akili yako na imani yako ni ndogo sana na sijui kama hata ile stationary uliyokuwa unauza manzese ulipata mteja.
Hata kama JF wanakutumia ili JF waendelee kupata views wengi na mada zako za kishenzi hawawezi kufanikiwa.
Na unatakiwa ujue kwamba hakuna mwanzo usiokuwa na mwisho na mwisho wa huo uchafu na matakataka yako unayojaribu kufundisha watu yana mwisho na mwisho wake sio mbali kutoka sasa.
Wewe ni moja ya watu washenzi unaechafua wenzako wa kilimanjaro walio staarabika, na ni vizuri ukabadilisha hilo jina kuliko kuendelea kuchafua wapare wenzako namna hiyo.
 
Hii ndio njia rahisi sasa yanini upoteze muda kumvizia mpaka awe peku uchukue mchanga wa nyayo zake. Ngoja nikanunue bob marley zangu nijipige vitu nikikamatwa na polisi nasema dawa ya kumkomoa mwanga usiku silali nateseka.Mh mbunge Msukuma alishaona umuhimu wa hii kitu. Bas ndo maana marehem bob marley alipata mafanikio makubwa kwenye mziki kwa sababu alikuwa harogeki wanga wanamkimbia.
imebidi tu niweke post inayotoa rai ya kuhalalisha matumizi ya bangi maana naona ina wateja wengi
 
Kuna watu akili zao zimedumaa kwa kuwaza uchawi na ulozi siku zote na wakati hayo mambo ni uchafu na takataka kuliko uchafu na takataka zote duniani.
Ni afadhali kichaa ambaye anashinda jalalani kuliko mtu aliyeshikilia uchafu wa uchawi na ulozi.
Mtu ambaye akili yake siku zote inawaza uchawi na ulozi **** mana haiwezekani mtu aliyezaliwa na kulelewa katika maadili mazuri akawa na mawazo machafu kama mshana ya kuwaza uchawi na ulozi kila siku.
 
Kuna watu akili zao zimedumaa kwa kuwaza uchawi na ulozi siku zote na wakati hayo mambo ni uchafu na takataka kuliko uchafu na takataka zote duniani.
Ni afadhali kichaa ambaye anashinda jalalani kuliko mtu aliyeshikilia uchafu wa uchawi na ulozi.
Mtu ambaye akili yake siku zote inawaza uchawi na ulozi **** mana haiwezekani mtu aliyezaliwa na kulelewa katika maadili mazuri akawa na mawazo machafu kama mshana ya kuwaza uchawi na ulozi kila siku.
Wee junya Kama huipendi na haikufai ipotezee ficha umaku wako Sawa bibie!wengine imatufaa kiazi wewe
 
Wewe ndiyo unatakiwa mungu akurehemu mbona silaha zinauzwa dukani na ni hiyari yako ukanunue uitumie kuua binadamu mwenzako au mnyama na pia hilo somo na amekupa angalizo un a hiyari kufuata au kukataa uchawi upo hata kwenye vitabu vya dini umeandikwa na siyo kila kitu Mungu atakufanyia ndiyo maana umepewa akili ya lupambanua mema na mabaya na suala la kujihami na adui unatakiwa ufanye yale unayoyafahamu wewe kama binadamu na yaliyo nje ya uwezo wako Mungu atakusaidia ndiyo maana unafunga mlango ingelikuwa kila kitu ni Mungu basi hata milango tusingefunga kwakuwa mungu atakulinda hebu jaribu kutokupisha ambulance uone mungu atakulinda au??? IMANI ZINGINE JARIBUNI KUTAFAKARI KWA KINA KABLA YA KUKURUPUKA MIMI NAMPA BIG-UP MSHANA ENDELEA KUSHUSHA SOMO LA KAMATI YA UFUNDI ILA NI NANI UTAMPATA AKIWA PEKU SIKU HIZI NA KUNA WENGINE UKICHUKUA NYAYO ZAO KAMA MIMI HULALI SASA HAPO INAKUWAJE???


Wwe ni lipumbavu tena pumbavu kubwa!
 
Wewe ni mchelemchele tu ndo maana huishi kujipendekeza
Wewe ni mbwa tu, kamwite mwenye mbwa mshana kigagula ajibu.
Sitochoka kuwapiga vita na imani zenu zilizojaa uchafu na takataka.
Hivi mnataka kuturudisha karne ya 9 na mambo yenu ya kishenzi so mnataka watoto wanaojiunga JF leo wajifunze nini na huo ushenzi wenu ?.
Shame on you.
 
Wewe ni mbwa tu, kamwite mwenye mbwa mshana kigagula ajibu.
Sitochoka kuwapiga vita na imani zenu zilizojaa uchafu na takataka.
Hivi mnataka kuturudisha karne ya 9 na mambo yenu ya kishenzi so mnataka watoto wanaojiunga JF leo wajifunze nini na huo ushenzi wenu ?.
Shame on you.
Junya ni junya tuu
 
Endeleeni kujipa moyo ninyi wanga, ninyi ni vichaa tu, mana haiwezekani mtu mwenye akili timamu akawa na mawazo ya kishenzi kama hayo.
Maisha yamewachanganya hadi mnakuwa vigagula hapa JF.
Hatari sana
Naona una hamu ya kuchokonolewa ila Hakuna anayekutaka hapa katafute basha mwingine ukikosa jikite cha kati
 
Leo nafundisha live...!!! Kwa wale wasiopenda natanguliza kuomba radhi TUVUMILIANE kuna baadhi wanaohangaishwa yatawafaa

Wanga ni watu hovyo sana hukufanyia mambo ya kukuchosha mwili na vitu vya ajabu ajabu bila faida yoyote
Hivyo basi mtu wa kaliba naye hana budi kupata shida kidogo pale inapobidi

Tafuta ufanikiwe kupata mchanga wa nyayo zake akiwa peku,tafuta ndulele tatu jivu pilipili kichaa au ----- na kipande kidogo cha kaniki....changanya vyote ikibidi twanga ongeza na matone kadhaa ya damu yako kisha funga kaza sana kwenye kipande cha kaniki
1. Sigina na kisigino huku ukinuizia kama unataka miguu imuume
2. Choma na sindano ukitaka miguu ichome chome
3. Banika motoni ukitaka miguu yake iwake moto
4. Kaanga kwenye kikaango kikavu ukitaka miguu imuwashe
Fanya hivi kama unaamini hizi mambo na una roho mbaya ya visasi...kumbuka kuna hukumu siku ya kiama
Sihusiki na matokeo ya matendo yako
HUO MCHANGA WA NYAYO ZA MWANGA UTAZIPATAJE, HIYO SI NI SAWA NA KUTAFUTA MAVI YA MAMBA......?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom