Mkomoe mwanga


kulalambagesii,,,' hapa ndo nnapoonaga waganga wa kienyej mna mashart ya kufikilika et mosh bangi lazima utokee puan ndo uwe dawa ila ukiichoma tu bila kuvuta aiwi bang tena yanakuwa marash ya karafuu
 
daaa!
kumbe kama hauna Yesu maisha ni vururuvururuu
 
Mwanga anakuchosha tu na kukutisha kwa vituko anavyokufanyia usiku lakini hakudhuru
Mchawi hana usiku wala mchana na anachokufanyia kina madhara na kinaumiza

Mkuu bado hujafafanua vema kuhusu mchawi na mwanga. Je mchawi hawezi fanya matendo ya kiwanga wanga na pia mchawi yuko je? Je mchawi ni yule anayefanya shiriki?
 
Hahahaaa unahusika sana na matokeo ya ushaur wako mkuu...kwan bila wew kutoa hayo maujanja wapo wasingejishughulisha leave along kujiingiza kwenye hizo iman..
So u are accountable for your words/muongozo
 
Mkuu bado hujafafanua vema kuhusu mchawi na mwanga. Je mchawi hawezi fanya matendo ya kiwanga wanga na pia mchawi yuko je? Je mchawi ni yule anayefanya shiriki?
Mchawi anaweza kuwanga kwakuwa hii ni level ya juu zaidi lakini baadhi ya wanga hawawezi kuroga
 
Hahahaaa unahusika sana na matokeo ya ushaur wako mkuu...kwan bila wew kutoa hayo maujanja wapo wasingejishughulisha leave along kujiingiza kwenye hizo iman..
So u are accountable for your words/muongozo
Unapoenda kwa mganga wa kienyeji unajua ni kwanini hahusiki na matendo ya matokeo ya kile utakachofanya? Ni kwasababu yeye anakuelekeza tu lakini vitendo unafanya mwenyewe
Kwahiyo mimi hapa siwajibiki kwa matokeo yoyote yale
 


Yaani zako lazima usichanganye na za Mbayuwau.πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚
 
Hahahaaa unahusika sana na matokeo ya ushaur wako mkuu...kwan bila wew kutoa hayo maujanja wapo wasingejishughulisha leave along kujiingiza kwenye hizo iman..
So u are accountable for your words/muongozo
***
KWA MTU WA KAWAIDA UKIFANYA HILI / NOTHING HAPPEN!. / ILI UWEZE KUFANYA HILI NI LAZIMA UWE NA EXTRA ENERGY (DARK) UNSEEN./ AND SPECIAL WORDS./
 
Nyingine ni more complicated. .....bhangi
Hii ndio njia rahisi sasa yanini upoteze muda kumvizia mpaka awe peku uchukue mchanga wa nyayo zake. Ngoja nikanunue bob marley zangu nijipige vitu nikikamatwa na polisi nasema dawa ya kumkomoa mwanga usiku silali nateseka.Mh mbunge Msukuma alishaona umuhimu wa hii kitu. Bas ndo maana marehem bob marley alipata mafanikio makubwa kwenye mziki kwa sababu alikuwa harogeki wanga wanamkimbia.
 
 
1. Sigina na kisigino huku ukinuizia kama unataka miguu imuume
2. Choma na sindano ukitaka miguu ichome chome
3. Banika motoni ukitaka miguu yake iwake moto
4. Kaanga kwenye kikaango kikavu ukitaka miguu imuwashe
Dah..Ukiweka ndani ya freezer itakuwa poa sana .....πŸ˜€πŸ˜€
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…