Uzi huu utakuwa unamuhusu huyo kwanini anasema ufutwe wakati watu wanapata elimu ya ulonzi....... Ndio wale wale hao goja wajichanganye tupate nyayo zao tuwape vichomi vya ulimiMphamvu kuna njia sahihi ya kuripoti spam nafikiri unaijua
Nyingine ni more complicated. .....bhangi
Sitaki nionekane nahamasisha matumizi ya mmea
mara 3 kwa wiki sio mbaya
uuuuuwiiiii hiyo ni chumbani sio mwilini tafadhali
usiumeze tafadhali utaharibu mapafu yako buuuree