papag JF-Expert Member Joined Jul 31, 2009 Posts 1,262 Reaction score 1,912 Today at 11:16 AM #1 CCM hoyeee! Attachments Screenshot_20260827_103605_Instagram Lite.jpg 224.2 KB · Views: 2
moudgulf JF-Expert Member Joined Jan 23, 2017 Posts 158,473 Reaction score 776,330 Today at 11:21 AM #2 Serikali ikatimize wajibu wake kuondoa ujinga kwenye hiyo mikoa. Lakini mmmh hata Tabora nao wamo!!
Funny boe JF-Expert Member Joined Mar 26, 2023 Posts 3,387 Reaction score 7,545 Today at 11:36 AM #3 moudgulf said: Lakini mmmh hata Tabora nao wamo!! Click to expand... mnyamwezi unaumia ukiwa wapi
de Gunner JF-Expert Member Joined Nov 2, 2021 Posts 11,083 Reaction score 21,970 Today at 11:42 AM #4 Haya wanyamwezi in da buliding Binti wa zamani Ila ukweli usemwe lindi na mtwara ndo Kuna watu watu illeterate sijawahi kuona
Haya wanyamwezi in da buliding Binti wa zamani Ila ukweli usemwe lindi na mtwara ndo Kuna watu watu illeterate sijawahi kuona
Moisemusajiografii JF-Expert Member Joined Nov 3, 2013 Posts 53,728 Reaction score 99,572 Today at 11:44 AM #5 moudgulf said: Serikali ikatimize wajibu wake kuondoa ujinga kwenye hiyo mikoa. Lakini mmmh hata Tabora nao wamo!! Click to expand... Hawapendi shule.Kazi yao kula ntalali,ndati na kuwinda kanyentye.
moudgulf said: Serikali ikatimize wajibu wake kuondoa ujinga kwenye hiyo mikoa. Lakini mmmh hata Tabora nao wamo!! Click to expand... Hawapendi shule.Kazi yao kula ntalali,ndati na kuwinda kanyentye.
Werrason JF-Expert Member Joined Nov 5, 2014 Posts 13,535 Reaction score 40,693 Today at 11:46 AM #6 Moisemusajiografii said: Hawapendi shule.Kazi yao kula ntalali,ndati na kuwinda kanyentye. Click to expand... 😆😆
Moisemusajiografii said: Hawapendi shule.Kazi yao kula ntalali,ndati na kuwinda kanyentye. Click to expand... 😆😆
ndege JOHN JF-Expert Member Joined Aug 5, 2015 Posts 24,801 Reaction score 60,645 Today at 1:32 PM #7 Picha haifunguki
moudgulf JF-Expert Member Joined Jan 23, 2017 Posts 158,473 Reaction score 776,330 Today at 7:26 PM #8 Funny boe said: mnyamwezi unaumia ukiwa wapi Click to expand... Usinipe kabila hilo mkuu.
moudgulf JF-Expert Member Joined Jan 23, 2017 Posts 158,473 Reaction score 776,330 Today at 7:28 PM #9 Moisemusajiografii said: Hawapendi shule.Kazi yao kula ntalali,ndati na kuwinda kanyentye. Click to expand... Ntalai, ndati na kanyetye ni vitu gani hivyo mkuu?
Moisemusajiografii said: Hawapendi shule.Kazi yao kula ntalali,ndati na kuwinda kanyentye. Click to expand... Ntalai, ndati na kanyetye ni vitu gani hivyo mkuu?
Tonny Kapola Gas Station JF-Expert Member Joined Aug 14, 2025 Posts 557 Reaction score 1,712 Today at 7:32 PM #10 Kwani kutojua kusoma na kuandika ndiyo ujinga? Mbona kuna mijitu imesoma lakini ni mijinga ya kwanza? Kwa mfano hii inayolipwa hizi buku saba saba ili ibong'oe si ni mijinga kuliko hata hao wasiojua kusoma wala kuandika?
Kwani kutojua kusoma na kuandika ndiyo ujinga? Mbona kuna mijitu imesoma lakini ni mijinga ya kwanza? Kwa mfano hii inayolipwa hizi buku saba saba ili ibong'oe si ni mijinga kuliko hata hao wasiojua kusoma wala kuandika?