mshikachuma
JF-Expert Member
- Dec 2, 2010
- 2,853
- 626
Shikamoo baba!...mimi ni mmoja kati ya watoto wako ila nipo humu JF kwa ID fake kama ulivyoingia wewe.Ni mapema mno kui rule-out CCM, miaka mitatu CCM inaweza kujijenga upya na kuchukuwa majimbo yote Simiyu. Take my word.
Hivi baba umeshahau siku ile usiku umetuita pale sitting room sisi watoto wako na mama yetu ukatuambia
kuwa kwasasa uko kwenye hali mbaya ya kisiasa hapa wilayani na unahitaji mshikamano wetu kama familia?.
Baba,wewe ni mzazi wangu nakuheshimu na kukupenda sana! na ninashukuru kwa yote unayotufanyia kama
familia yako...lakini Baba ukweli ni kwamba chama chako CCM kipo kwenye hali mbaya sana hapo wilayani
kwani hata mimi mwanao ni mshabiki mkubwa sana wa CDM ila huwa naogopa tu kukuonyesha my true color.
Likizo ya mwezi wa sita nakuja huko baba na tutaongea kwa kirefu....najiandaa na mitihani ya form six