kanamaheri
Senior Member
- Sep 24, 2021
- 104
- 84
Si rahisi mikoa yote kutoa kiongozi mf. Waziri, majimbo yote wananchi tulikosea kuchagua isopokuwa Mbeya jiji wengine waliosalia hawana uwezo wa kuwa washauri kwenye wizara yoyote hata kujibu maswali ya watunga sheria pale mjengoni!!!! Ila hata huku down tunajikuta tunachukiwa bila sababu.
Mbalari (maamuzi ya wananchi), Kyela, Rungwe, Mbeya vijijini, Busokelo, chunya. Tunawaomba kutoka songwe hatutarajii kuinua mabega ingawa hata kupiga picha tuu mjengoni unakuwaga busy sana.
Mbalari (maamuzi ya wananchi), Kyela, Rungwe, Mbeya vijijini, Busokelo, chunya. Tunawaomba kutoka songwe hatutarajii kuinua mabega ingawa hata kupiga picha tuu mjengoni unakuwaga busy sana.