Umeona eeh?? Yaani kuna watu wana mawazo mgando sana!!! Yaani anataka kusema ni Mara tu ndio wana uchungu na hii nchi. Uzi ungekuwa mzuri sana ila kaboronga kwa kuchanganya habari.Wasira nae ni Mara na mkono pia
Umeona eeh?? Yaani kuna watu wana mawazo mgando sana!!! Yaani anataka kusema ni Mara tu ndio wana uchungu na hii nchi. Uzi ungekuwa mzuri sana ila kaboronga kwa kuchanganya habari.Wasira nae ni Mara na mkono pia
Uweda watu wa Msoma ni Genius, lakini watu wenye akili ya kawaida humu JF wanaendelea kuisifu CCM
Maswi, Muhongo na Werema