TangataUnyakeWasu
JF-Expert Member
- Dec 18, 2016
- 1,268
- 1,611
Ni kweli kwamba baba wa Taifa Hayati Mwl Julius K. Nyerere alikuwa ni mzaliwa wa mkoa huu na ambaye ndiye alikuwa mwasisi mkuu wa TANU na hatimaye CCM. Licha ya hiyo naweza sema kwamba mkoa huu umesaulika sana na katika shughuli za maendeleo ya jamii. Mkoa unakabiliwa na miundombinu mibovu, huduma mbovu za maji, elimu na afya.
Swali langu ni Je mkoa huu umewakosea nini watawala wote waliopita na wa sasa ndani ya serikali ya CCM??
Sent using Jamii Forums mobile app
Swali langu ni Je mkoa huu umewakosea nini watawala wote waliopita na wa sasa ndani ya serikali ya CCM??
Sent using Jamii Forums mobile app