Mkoa wa Kagera unaongoza kuwa na vivutio vingi vya utalii kanda ya ziwa

frajomedia

Member
May 1, 2016
35
7
Mkoa wa Kagera ni mkoa wenye fursa nyingi za uchumi na kama wananchi wakitumia fursa hizo itakuwa itafanikisha kujikomboa kwenye umasikini.
Leo nitazungumzia fursa ya utalii kwa mkoa wa Kagera,kwanza nielezee sifa ya mkoa wa Kagera kwa ufupi,mkoa wa Kagera umepakana na nchi nyingi za Afrika mashariki,kama Uganda,Rwanda na Burundi hiyo ni fursa kubwa kwa biashara na utalii,nirudi kwenye utalii.

vivutio vya utalii kwa mkoa wa Kagera vipo vya aina mbalimbali kama fukwe uwepo wa ziwa victoria,kuna vivutio vya utamaduni kama kujua historia mbalimbali za machief,nyumba za kitamaduni.kuna utamaduni wa mbuga za wanyama kuna Rubondo,Burigi game reserve nakadhalika,kuna maporomoko ya maji,na vivutio vingi sana.

Kujionea vivutio mbalimbali vya utalii vinavyopatikana mkoa wa Kagera na muongozo mzima kama sehemu mbalimbali za kutembea,tembelea

www.kageratourism.com
 
Wewe ni bure kabisa, na mkoa wa mara unauacha wapi?
Ukisema ziwa mkoa wa mara lipo na fukwe nzuri tu, ukisema nbuga serengeti ipo na ndio kubwa kuliko zote afrika mashariki na kati kama sio afrika kwa ujumla.

Ukisema mto kagera hata mara wana mto mara, ukisema maporomoko wao wana hot spring, ukisema tamaduni ya makabila wao ndio wana tamaduni na makabila mengi Tanzania.

Nadhani mara ni kinara wa vivutio vya utalii na fursa za kiuchumi maana karibu kila sehem mara wanachimba dhahabu, wana kilimo cha misimu miwili kwa mwaka.
 
Wewe ni bure kabisa, na mkoa wa mara unauacha wapi?
Ukisema ziwa mkoa wa mara lipo na fukwe nzuri tu, ukisema nbuga serengeti ipo na ndio kubwa kuliko zote afrika mashariki na kati kama sio afrika kwa ujumla.

Ukisema mto kagera hata mara wana mto mara, ukisema maporomoko wao wana hot spring, ukisema tamaduni ya makabila wao ndio wana tamaduni na makabila mengi Tanzania.

Nadhani mara ni kinara wa vivutio vya utalii na fursa za kiuchumi maana karibu kila sehem mara wanachimba dhahabu, wana kilimo cha misimu miwili kwa mwaka.
Mkuu usisahau namapigano ya kikabira ktk mkoa wa Mara. Nacho nikivutio tosha kabisa cha utalii.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom