Mkoa wa Kagera na Ufukara

Kurunzi

JF-Expert Member
Jul 31, 2009
9,285
9,922
Mkoa wa kwanza kwa ufukara ni Simiyu. Mkoa unaofuata ni Kagera (Mkoa uliotoa Maprofesa wengi nchini). Yani Simiyu tu ndio imeizidi Kagera kwa viwango vya umaskini. Ina maana hakuna uhusiano wowote kati ya SHULE na MAOKOTO?

Inakuaje Wahaya wamesoma sana halafu wanaburuza mkia kwenye kusaka noti? Ina maana kwenye zile Debate za sekondari Wahaya walichagua ule upande wa EDUCATION is bettet than MONEY? Wakora waitu.
 
Chukua dictionary ya kingereza kaa nayo karibu wanakuja kukujibu kwa code mixing zao

Shida ya ndugu zetu bado wanaamini kwenye kumsomesha mtoto ili apate kazi basi wanaona atakuwa tajiri tu sio kujiwekeza kwingine .

By the way zamani walisoma wakaingia serikalini sasa kwa tumishahara wakanunua tugari twa mikopo na kujenga vibanda basi ni hapo jamii ya kihaya ikaamini mkombozi ni kusoma na kupata kazi maisha unakuwa umeyamaliza kumbe zama zimebadilika kwasasa elimu ni kukukomboa kwa fikra sio ajira tena .

Nakupa mfano. Kagera kuna familia ambayo kjana wao kuwepo chuo ni bonge la sifa na wanaona like kijana ashatoboa kwahiyo ni matter of time , sasa shida inakuja pale kijana anamaliza no kazi no what ni hapo akina Nshomile hauwakuti kwao wanakimbilia mikoani kujitafuta

Kinachotokea wazazi wanawaandama watume chichote kitu ilihali na wao wana hali ngumu waliyo nayo .
Hapo ndipo mwanzo wa unafiki na masimango kwa watoto wao na kukosana mara kwa mara .

That's why usisitaajabu mzazi wa kihaya kumpenda mtoto mwenye vichenji kidogo kuliko mwingine .

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
Mkoa wa kwanza kwa ufukara ni Simiyu. Mkoa unaofuata ni Kagera (Mkoa uliotoa Maprofesa wengi nchini). Yani Simiyu tu ndio imeizidi Kagera kwa viwango vya umaskini. Ina maana hakuna uhusiano wowote kati ya SHULE na MAOKOTO?

Inakuaje Wahaya wamesoma sana halafu wanaburuza mkia kwenye kusaka noti? Ina maana kwenye zile Debate za sekondari Wahaya walichagua ule upande wa EDUCATION is bettet than MONEY? Wakora waitu.
Mkoa ndio masikini lakini wahaya sio masikini! Angalia hata hapo mtaani kwako kama kuna familia ya kihaya alafu masikini! Vigezo ni vya kiserikari katika kiwango cha kukisanya kodi! Kama hakuna uwekezaji serikali itakusanya nini? Kalaghabao! Wahaya wako vizuri kimaokoto
 
Mkoa ni maskini kuchangia pato la taifa sio wakazi wake mkuu...
Sasa kama serikali haijawekeza sana huko utegemee itapata chochote kutoka huko?..

Hiv kagera nzima kuna mahali utaona hata soko la kisasa la mazao?

Najua watu watakuja kutukana wahaya hapa...lakin kimsingi angalia hata mtaani kwako family za kihaya ujilinganishe nao na uje ubeze elimu tena
 
Chukua dictionary ya kingereza kaa nayo karibu wanakuja kukujibu kwa code mixing zao

Shida ya ndugu zetu bado wanaamini kwenye kumsomesha mtoto ili apate kazi basi wanaona atakuwa tajiri tu sio kujiwekeza kwingine .

By the way zamani walisoma wakaingia serikalini sasa kwa tumishahara wakanunua tugari twa mikopo na kujenga vibanda basi ni hapo jamii ya kihaya ikaamini mkombozi ni kusoma na kupata kazi maisha unakuwa umeyamaliza kumbe zama zimebadilika kwasasa elimu ni kukukomboa kwa fikra sio ajira tena .

Nakupa mfano. Kagera kuna familia ambayo kjana wao kuwepo chuo ni bonge la sifa na wanaona like kijana ashatoboa kwahiyo ni matter of time , sasa shida inakuja pale kijana anamaliza no kazi no what ni hapo akina Nshomile hauwakuti kwao wanakimbilia mikoani kujitafuta

Kinachotokea wazazi wanawaandama watume chichote kitu ilihali na wao wana hali ngumu waliyo nayo .
Hapo ndipo mwanzo wa unafiki na masimango kwa watoto wao na kukosana mara kwa mara .

That's why usisitaajabu mzazi wa kihaya kumpenda mtoto mwenye vichenji kidogo kuliko mwingine .

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Endelea kujidanganya...
 
Mkoa wa kwanza kwa ufukara ni Simiyu. Mkoa unaofuata ni Kagera (Mkoa uliotoa Maprofesa wengi nchini). Yani Simiyu tu ndio imeizidi Kagera kwa viwango vya umaskini. Ina maana hakuna uhusiano wowote kati ya SHULE na MAOKOTO?

Inakuaje Wahaya wamesoma sana halafu wanaburuza mkia kwenye kusaka noti? Ina maana kwenye zile Debate za sekondari Wahaya walichagua ule upande wa EDUCATION is bettet than MONEY? Wakora waitu.
Tatizo mnadaka topic bila kujisomea kujua mambo, hicho kipimo cha per capital hakiwezi kuidhinisha hali ya uchumi wa watu wote wa eneo husika na ndo maana China na Marekani haziongozi kwenye kipimo hicho japo zina uchumi mkubwa
 
Nshomile.

Wahaya wanatabia ya kwenda kujenga ugenini, huko kwao wanapakimbia yaani hawatofautiani na wachaga kwenye utafutaji ila wachaga mwisho wa mwaka wanarudi lakini wahaya wakizamia huwa wanapitilizia huko.

utakuwa unamuona anarudi Bukoba kuringa na gari lake halafu anapotea tena hadi uzeeni mtindo unaendelea...😄😄
 
Mkoa ni maskini kuchangia pato la taifa sio wakazi wake mkuu...
Sasa kama serikali haijawekeza sana huko utegemee itapata chochote kutoka huko?..

Hiv kagera nzima kuna mahali utaona hata soko la kisasa la mazao?

Najua watu watakuja kutukana wahaya hapa...lakin kimsingi angalia hata mtaani kwako family za kihaya ujilinganishe nao na uje ubeze elimu tena
Kuna watu wapo wamebweteka kwa pesa za migodi ya watu eti kisa zinawafanya waonekane wana ela nyingi. Mikoa mingi yenye per capita kubwa ela zinamilikiwa na watu wachache au makampuni tofauti na wahaya ambapo hiyo ela ndogo ipo kwa wananchi
 
Yeyote anayebeza elimu mi huwa namuona ni mwehu , na hii ndo silaha juu ya CCM , majitu yawe mamburura , mafanikio yyte yanaaza na elimu Kwanza , elimu inakupa uwezo wa kuzifanyia kazi fursa zinazokuzunguka , inaweza kuwa kuajiriwa au kujiajiri , Kwa vyovyote vile mikoa iliyodharau elimu ndo mikoa duni kitaifa
 
Mleta mada hujawahi kutembea! Ulishawahi kwenda na kuona maisha ya watu wa shinyanga ndani ndani au hata viunga vya mji wa shinyanga? Nenda utaniletea mrejesho! Makusanyo ya kodi (TRA) ya shinyanga yanatokana na wingi wa kodi ya migodi. Hela ya migodi haiingii mikononi mwa wananchi inaenda mojakwamkoja katika kapu la serikalini na inakwenda kujenga miundombinu katika mikoa yenye ushawishi wa utashi wa kisiasa na kuacha hali ya maisha ya watu wa shinyanga wakiwa fukara! Wakileta takwimu wanasema shinyanga hiko juu lakini angalia wananchi wake hoi taabani! Mkoa wa kagera tangu henzi za mwalimu serikali haijawahi kuwekeza! Sasa itachuma mahali ambapo hawajawekeza? Wahaya walijitahidi na wanajitahidi kadri ya uwezo wao kutumia kidogo walichonacho kusapoti watu wao! Kwataarifa yako hicho kidogo kinachoonekana serikali inakipata kinatokana na shughuri za moja kwa moja za wanakagera sio makampuni au taasisi kubwa zinazohodhi uchumi na kuwaacha wananchi fukara! Nikuulize tena swali hapa jukwaani! Kila mtu aangalie mtaani kwake ni wahaya wangapi masikini? Wahaya ni kabila lililojuu katika hali bora ya maisha na wanakimbizana na wachaga!
 
Mleta mada hujawahi kutembea! Ulishawahi kwenda na kuona maisha ya watu wa shinyanga ndani ndani au hata viunga vya mji wa shinyanga? Nenda utaniletea mrejesho! Makusanyo ya kodi (TRA) ya shinyanga yanatokana na wingi wa kodi ya migodi. Hela ya migodi haiingii mikononi mwa wananchi inaenda mojakwamkoja katika kapu la serikalini na inakwenda kujenga miundombinu katika mikoa yenye ushawishi wa utashi wa kisiasa na kuacha hali ya maisha ya watu wa shinyanga wakiwa fukara! Wakileta takwimu wanasema shinyanga hiko juu lakini angalia wananchi wake hoi taabani! Mkoa wa kagera tangu henzi za mwalimu serikali haijawahi kuwekeza! Sasa itachuma mahali ambapo hawajawekeza? Wahaya walijitahidi na wanajitahidi kadri ya uwezo wao kutumia kidogo walichonacho kusapoti watu wao! Kwataarifa yako hicho kidogo kinachoonekana serikali inakipata kinatokana na shughuri za moja kwa moja za wanakagera sio makampuni au taasisi kubwa zinazohodhi uchumi na kuwaacha wananchi fukara! Nikuulize tena swali hapa jukwaani! Kila mtu aangalie mtaani kwake ni wahaya wangapi masikini? Wahaya ni kabila lililojuu katika hali bora ya maisha na wanakimbizana na wachaga!
Bora umesema kweli, kuna watu uwezo wa kufikiri kwao ni mdogo sana, kwa Kagera hamna viwanda vikubwa au migodi wala utalii wowote kinachoonekana kwa Kagera ni direct kutoka kwa wananchi
 
Back
Top Bottom