papag JF-Expert Member Joined Jul 31, 2009 Posts 1,171 Reaction score 1,733 Aug 4, 2025 #1 JEE KUNA UMEME?
Saguda47 JF-Expert Member Joined May 1, 2016 Posts 11,751 Reaction score 21,970 Aug 4, 2025 #2 Ndiyo Mbeya nakula Raha ya CHAN tu home
rkidilu JF-Expert Member Joined Mar 10, 2019 Posts 381 Reaction score 336 Aug 4, 2025 #4 Arusha umekatika muda sio mrefu kama dk 10 zilizopita
Greatest Of All Time JF-Expert Member Joined Jan 1, 2017 Posts 25,012 Reaction score 56,294 Aug 4, 2025 #5 Huku Nakonde hamna umeme
Village fooler JF-Expert Member Joined Mar 16, 2020 Posts 721 Reaction score 1,449 Aug 4, 2025 #7 Huku Butiama Mara hakuna umeme
maiko sultan JF-Expert Member Joined Jan 28, 2024 Posts 866 Reaction score 1,968 Aug 4, 2025 #8 Kuna watu wanatuchezea Sana mitandao wafunge na umeme wazime zaidi ya masaa 5.
R r2ga JF-Expert Member Joined Apr 5, 2012 Posts 2,649 Reaction score 2,733 Aug 4, 2025 #9 Shida itakua ni nini? Hata huku hakuna.
Numbisa JF-Expert Member Joined Dec 12, 2016 Posts 348,104 Reaction score 1,249,083 Aug 4, 2025 #10 Haupo
N Nikilewa mniache JF-Expert Member Joined Aug 8, 2015 Posts 19,276 Reaction score 51,858 Aug 4, 2025 #11 Arusha wamekata kweli baada ya kuchezeachezea switch
Joanah JF-Expert Member Joined Aug 14, 2016 Posts 24,857 Reaction score 89,745 Aug 4, 2025 #12 papag said: JEE KUNA UMEME? Click to expand... Hamna umeme
Aiylan wasalan JF-Expert Member Joined Sep 9, 2024 Posts 1,384 Reaction score 3,261 Aug 4, 2025 #13 Huku mwza hakuna kabisaaa almost 45 minutes
Mangwea1900 JF-Expert Member Joined May 29, 2025 Posts 2,485 Reaction score 3,224 Aug 4, 2025 #14 Huku Burundi upo
Moisemusajiografii JF-Expert Member Joined Nov 3, 2013 Posts 49,736 Reaction score 89,326 Aug 4, 2025 #15 Mimi nimefumba macho.Mnisubiri nianze kukapua macho/miho?Sijui lolote.
Chapati Tatu JF-Expert Member Joined Apr 23, 2024 Posts 393 Reaction score 818 Aug 4, 2025 #16 Kigali huku pia hakuna
Ushimen JF-Expert Member Joined Oct 24, 2012 Posts 42,392 Reaction score 104,788 Aug 4, 2025 #17 Hakuna umeme
papag JF-Expert Member Joined Jul 31, 2009 Posts 1,171 Reaction score 1,733 Aug 4, 2025 Thread starter #18 r2ga said: Shida itakua ni nini? Hata huku hakuna. Click to expand... Matokeo yao nadhani. Yatangazwe kwa tochi watu wabadili gia.
r2ga said: Shida itakua ni nini? Hata huku hakuna. Click to expand... Matokeo yao nadhani. Yatangazwe kwa tochi watu wabadili gia.
DUBULIHASA JF-Expert Member Joined Nov 26, 2016 Posts 5,579 Reaction score 10,272 Aug 4, 2025 #19 Chuga hakuna
leo dada JF-Expert Member Joined Oct 26, 2023 Posts 1,301 Reaction score 5,927 Aug 4, 2025 #20 Gridi ya taifa yote hakuna