Tulivyo ambiwa nikwamba sasa hv mapato ya serikali yapo chini kiasi kwamba haiwezi kuongeza mishahala ya watumishi.
Sasa najiuliza haya mapendekezo ya mkoa mpya hela zinatoka wapi? Ukiuliza neno lao kuu wanakwambia nikusogeza huduma za wananchi krb!
Hii danganya Toto fanya mkoa wa Dsm mwananchi ambaye yupo mbali na makao makuu ya mkoa KLM 60, sasa je Dsm kuna huduma za kutosha? Nenda hospital na mtoto chini ya miaka 5 atapimwa alafu utaambia dawa hakuna kanunue nje,shule za msingi kaangalie watoto wanavyo rundikana secondary vivo hivyo,umeme,maji na barabara vyote nishida.
Kuendelea kuumega Mkoa wa Kagera (Bukoba) ni hujuma kwa wana Kagera hakuna lingine, nionavyo mimi.
Sasa najiuliza haya mapendekezo ya mkoa mpya hela zinatoka wapi? Ukiuliza neno lao kuu wanakwambia nikusogeza huduma za wananchi krb!
Hii danganya Toto fanya mkoa wa Dsm mwananchi ambaye yupo mbali na makao makuu ya mkoa KLM 60, sasa je Dsm kuna huduma za kutosha? Nenda hospital na mtoto chini ya miaka 5 atapimwa alafu utaambia dawa hakuna kanunue nje,shule za msingi kaangalie watoto wanavyo rundikana secondary vivo hivyo,umeme,maji na barabara vyote nishida.
Kuendelea kuumega Mkoa wa Kagera (Bukoba) ni hujuma kwa wana Kagera hakuna lingine, nionavyo mimi.