Billie
JF-Expert Member
- Aug 13, 2011
- 12,863
- 20,218
Wazinzi bwanaMahenge, mnagegedana huku mmevaa makoti au masweta
Wazinzi bwanaMahenge, mnagegedana huku mmevaa makoti au masweta
Punguza chumviMahenge, mnagegedana huku mmevaa makoti au masweta
Umetisha MkuuDar es Salaam kwa sababu kuna mafriji na viyoyozi vingi
Nakuunga mkono kabisa 100% pale ni baridi haswa kuliko mafinga ifunda wasa mufindi na orjoroMakete ndio mwisho, nakumbuka wakati naenda Shule asubui ilikua kawaida kila mwanafunzi kuingia na jiko la mkaa Darasani.
Maana usipopasha moto mikono huwezi kuandika, vidole vinakosa nguvu kabisa na midomo kutetemeka.
Mwezi wa Sita,Saba hadi wa Nane ukilaza ndoo yenye maji nje asubuhi unakuta jiwe la barafu.!
Makete iko Njombe mkuuMbeya - Makete
Una maanisha nini?Mbeya - Makete