ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 45,536
- 52,604
Kilimanjaro hata unipe nyumba bure sikaeKuna Mikoa kiukweli Mimi ukiniambia nikaoshi ni kama umenipa adhabu kubwa..
Mikoa ambayo sitamani kabisa kuishi ni
Dsm-Watu wengi,Kila sehemu Kuna nuka,uswazi,no space na prone Kwa Magonjwa kama kipindupindu nk
Mvua kidogo tuu inakuwa ni mafuriko,joto na jasho mda wote nk nk.
Mikoa ya Kanda ya Ziwa
Hii shida kubwa ni zile zile watu wamerundikana kama Dar , umaskini uliotopea na mbaya zaidi Magonjwa ya Kansa ndio kwao.
Mwisho ni Wilaya za Makete,Longido,Simanjiro,Kondoa,Bahi,Ulanga na Mwanga.Hizi Wilaya maisha maisha hatari.
Moshi kuna wanga balaaKilimanjaro hata unipe nyumba bure sikae
Mkuu ukiwa na mkwanja kokote kunakua kuzuri imagine dubai na falme za kiarabu hakukua na maisha mazuri kwenye jangwa lakini leo mtu akioata pesa moja ya destination zake kwenye vacation ni dubai pesa inabadili kila kitu zisake mwanza na dar kuna maeneo ukiwa na mkwanja ukaweza kuishi hutojuta. Ila ukiwa maskini pia usipende kuchagua maeneo maskini hana jemaKuna Mikoa kiukweli Mimi ukiniambia nikaoshi ni kama umenipa adhabu kubwa... Mikoa ambayo sitamani kabisa kuishi ni
Dsm-Watu wengi,Kila sehemu Kuna nuka,uswazi,no space na prone Kwa Magonjwa kama kipindupindu nk
Mvua kidogo tuu inakuwa ni mafuriko,joto na jasho mda wote nk nk.
Mikoa ya Kanda ya Ziwa. Hii shida kubwa ni zile zile watu wamerundikana kama Dar , umaskini uliotopea na mbaya zaidi Magonjwa ya Kansa ndio kwao.
Mwisho ni Wilaya za Makete,Longido,Simanjiro,Kondoa,Bahi,Ulanga na Mwanga.Hizi Wilaya maisha maisha hatari.
KwenuKuna Mikoa kiukweli Mimi ukiniambia nikaoshi ni kama umenipa adhabu kubwa... Mikoa ambayo sitamani kabisa kuishi ni
Dsm-Watu wengi,Kila sehemu Kuna nuka,uswazi,no space na prone Kwa Magonjwa kama kipindupindu nk
Mvua kidogo tuu inakuwa ni mafuriko,joto na jasho mda wote nk nk.
Mikoa ya Kanda ya Ziwa. Hii shida kubwa ni zile zile watu wamerundikana kama Dar , umaskini uliotopea na mbaya zaidi Magonjwa ya Kansa ndio kwao.
Mwisho ni Wilaya za Makete,Longido,Simanjiro,Kondoa,Bahi,Ulanga na Mwanga.Hizi Wilaya maisha maisha hatari.
Evelyn Salt! Kwanini unachukia Singida au ni kwa ajili ya Tundu Lissu au Waziri Mahiri wa Hela wote wanatoka huko@Singida...
Hujui unachokichukia,huo Mkoa napenda nije nikaishi huko maana una fursa sanaMkoa ninao uchukia ni mkoa mmoja ambao sijawahi kufika ila sifa zake nimezisikia tu hadi nikauchukia na mkoa huo ni Lindi
Choice ! Kwani sasa upo wapi!Hujui unachokichukia,huo Mkoa napenda nije nikaishi huko maana una fursa sana
Uzuri wa mkoa wa sigida uko wapi?Evelyn Salt! Kwanini unachukia Singida au ni kwa ajili ya Tundu Lissu au Waziri Mahiri wa Hela wote wanatoka huko@
Singida ni muzuri sana vp hupendi kula kuku wewe bwege!
Wewe hupendi vyuku!!!Uzuri wa mkoa wa sigida uko wapi?
Mji gani ukikaa unapaukaaaa..... Aaahh Singida hapana asee nlikaa kweli nilifaidi kuku sana ila hapana sio kwa mpauko ule, hata Dodoma pia hapanaEvelyn Salt! Kwanini unachukia Singida au ni kwa ajili ya Tundu Lissu au Waziri Mahiri wa Hela wote wanatoka huko@
Singida ni muzuri sana vp hupendi kula kuku wewe bwege!
Na pesa haupatikani popoteUkiwa na pesa popote tu unaishi