Sarungi aliukwaa uwaziri kipindi Cha AHM Wakati Makweta alianza uwaziri enzi za Mwalimu mwaka 1981.
Sisi wengine tulisoma enzi za yule mpare mkware Mgonja na baadaye mama Tabitha Siwale wakati ule Tanzania nzima shule za sec zilikua 189.
Lindi kulikua na shule moja
Kigoma moja
Pwani zilikua 6
Dar zilikua kumi na moja tu.
Kinondoni
Mzizima
Shaaban Robert
Zanaki
Kisutu
Jangwani
Azania
Tambaza
Kibasila
Pugu
Forodhani
Mgulani ilikua ya wanajeshi
Sasa hivi nasikia Dar Kuna zaidi ya shule Mia mbili za sekondari.
Tumeendelea.........