Wale wooote tuliopitia elimu ya sekondari Enzi za Professor Sarungi akiwa waziri wa elimu, wale tuliobadilishiwa mtaala tukiwa kidato cha tatu na kutakiwa kufanya mtihani wa somo la siasa lilobadilishwa na kuitwa civics ndani ya miezi michache.
Wale tuliosoma shule za jumuiya ya wazazi unasoma kuanzia kidato cha Kwanza mpaka nne bila kusoma physics na hesabu.
Wale tuliomaliza form bila hata kujua kusolve hesabu ndogo kama simultaneous.
Wale ambao mwanao wa kidato cha pili akirudi na home work ya hesabu na akahitaji msaada wako ndo siku ambayo utaingia bedroom mapema ukijifanya kuchoka Sana.
Wale ambao tulifanya mtihani wa kidato cha pili alama ya mwisho ya ufaulu ikiwa ni 21, lakini matokeo Tanzania nzima yakawa mabovu mpka Sarungi akaamue wanafunzi wote waliokuwa na alama mpka 18 kama sikosei waendelee kidato cha nne,
Wale ambao baada ya hapo tulianza kuunga unga na Leo hii tuna digrii na tunapiga hela kuliko hela kuliko waliopiga one za Saba na one ya tatu A levels, lakini Leo hii wako chini yetu tukiwafanyia tathmini za kiutendaji.
Wale tuliosoma shule za jumuiya ya wazazi unasoma kuanzia kidato cha Kwanza mpaka nne bila kusoma physics na hesabu.
Wale tuliomaliza form bila hata kujua kusolve hesabu ndogo kama simultaneous.
Wale ambao mwanao wa kidato cha pili akirudi na home work ya hesabu na akahitaji msaada wako ndo siku ambayo utaingia bedroom mapema ukijifanya kuchoka Sana.
Wale ambao tulifanya mtihani wa kidato cha pili alama ya mwisho ya ufaulu ikiwa ni 21, lakini matokeo Tanzania nzima yakawa mabovu mpka Sarungi akaamue wanafunzi wote waliokuwa na alama mpka 18 kama sikosei waendelee kidato cha nne,
Wale ambao baada ya hapo tulianza kuunga unga na Leo hii tuna digrii na tunapiga hela kuliko hela kuliko waliopiga one za Saba na one ya tatu A levels, lakini Leo hii wako chini yetu tukiwafanyia tathmini za kiutendaji.