Mkiwamaliza matabibu feki hamieni kwa wahubiri wa uongo

maramia

JF-Expert Member
Jul 17, 2015
2,030
1,344
Sasa tunaanza kuona u'seriousness wa serikali ya Magufuli kwa kuwafungia watabibu feki wanaodai wanatibu ukimwi, kansa, kisukari,BP na magonjwa mengine yasiyotibika huku wakiwatapeli wagonjwa pesa zao. Umewshi kuona wapi mzizi mmoja wa mti unatibu magonjwa 100? Uongo mtupu.

Mkiwamaliza hao hamieni kwa wanaohubiri uongo viwanjani kwamba wanatoa mapepo,majini na mashetani huku wakiwatoza wafuasi wao kijanja pesa kupitia sadaka.

Wakitaka kuwaponya wafuasi wao wafanyie shughuli hizo makanisani na misikitini siyo kwenye viwanja vyetu vya umma.
 
Sasa tunaanza kuona u'seriousness wa serikali ya Magufuli kwa kuwafungia watabibu feki wanaodai wanatibu ukimwi, kansa, kisukari,BP na magonjwa mengine yasiyotibika huku wakiwatapeli wagonjwa pesa zao. Umewshi kuona wapi mzizi mmoja wa mti unatibu magonjwa 100? Uongo mtupu.

Mkiwamaliza hao hamieni kwa wanaohubiri uongo viwanjani kwamba wanatoa mapepo,majini na mashetani huku wakiwatoza wafuasi wao kijanja pesa kupitia sadaka.

Wakitaka kuwaponya wafuasi wao wafanyie shughuli hizo makanisani na misikitini siyo kwenye viwanja vyetu vya umma.

Lazima una mapepo yanakusumbua.

Serikali haiwezi kufanya hivyo, sababu unaijua.
Wangewashambulia wanaozishambulia dini/imani za wenzao.
 
Na hawa huwa wanatangazwa sana Star tv na Channel 10.Tatizo Mkuu nae aliwahi tia timu katika lile kani la mzee wa ...... ambalo ni miongoni mwa makanisa ya aina hiyo.

Ukiacha hao kuna wale wazee wa nyota na kutoa majini/mapepo. Hawa nao ni wale wale tu.

Haya mambo binafsi huwa siyafurahi kabisa maana yana element fulani fulani za kutia mashaka.
 
Sasa tunaanza kuona u'seriousness wa serikali ya Magufuli kwa kuwafungia watabibu feki wanaodai wanatibu ukimwi, kansa, kisukari,BP na magonjwa mengine yasiyotibika huku wakiwatapeli wagonjwa pesa zao. Umewshi kuona wapi mzizi mmoja wa mti unatibu magonjwa 100? Uongo mtupu.

Mkiwamaliza hao hamieni kwa wanaohubiri uongo viwanjani kwamba wanatoa mapepo,majini na mashetani huku wakiwatoza wafuasi wao kijanja pesa kupitia sadaka.

Wakitaka kuwaponya wafuasi wao wafanyie shughuli izo makanisani na misikitini siyo kwenye viwanja vyetu vya umma.

kabra ya kufanya ivo unavotaka ni lazma kwanza tuhakikishe tumekuombea kwanza na ww.
 
kabra ya kufanya ivo unavotaka ni lazma kwanza tuhakikishe tumekuombea kwanza na ww.
Hivi mnaombea hata wasiokuwa wafuasi wenu? Ndiyo maana nimesema mfanyie hayo maombi yenu kwenye nyumba zenu za ibada ili wateja wenu au wafuasi wenu wawafuate huko.
 
Back
Top Bottom