ngoshwe JF-Expert Member Mar 31, 2009 4,131 931 Jun 3, 2011 #1 Namfuatilia Kipima Joto ITV. Hoja ya Tanesco kutotoa huduma japo wateja wapo tayari kulipia lakini umeme hakuna, sababu kibao.Huyu jamaa Mkinga staili yake ya kutoa hoja ni ya kizalendo haswa, anagenga hoja kwa hisia kali kuhusu Dowans na Richmond.
Namfuatilia Kipima Joto ITV. Hoja ya Tanesco kutotoa huduma japo wateja wapo tayari kulipia lakini umeme hakuna, sababu kibao.Huyu jamaa Mkinga staili yake ya kutoa hoja ni ya kizalendo haswa, anagenga hoja kwa hisia kali kuhusu Dowans na Richmond.