Mwamba ana miaka 34 ila kama mstaafu
Hata mie sijaelewa kabisa.Sijaelewa haya mashindano, mtu anasindikizwa hadi mwisho pasi ya kuwa na mshindani.
Mkuu wakenya siwaamini kabisa kuna kiongozi mmoja wa riadha alisema ukweli kwba wanatumia dawa hajasema ni zipi labda za asili huwezi kujuaAna world record hii ya 6 ,angekuwa anatumia basi huko nyuma angeshathibitika
Hata ikija thibitishwa lakini tayari kashaingia kwenye kumbukumbu ya dunia
Ha ha ha ha kama Casta Semenya
Sijaelewa haya mashindano, mtu anasindikizwa hadi mwisho pasi ya kuwa na mshindani.
Ha ha ha anamkewe😀😀😀😀😀inawezekana viungo vyake vyote vipo activeSemenya mpuuzi yule anataka kufanya.dunia nzima wajinga yeye ndiye mjanja, anatoka kuchukua medali kwa wanawake halafu kurudi kwao anachumbia, mengine yote hana tatizo nayo ila kwenye riadha akakimbie na wanawake, bora alivyoachia
Ha ha ha anamkeweinawezekana viungo vyake vyote vipo active
Kachoka kweli dadadekiMwamba ana miaka 34 ila kama mstaafu
Ha ha ha mixerKilichozidi hakijifichi hata wewe unamuona, kuna dalili ya ke pale si uhuni tu
umewaza kama mimi ila niliamua kupotezea
watu maalum kama kocha wa mo farah sio!!..kuna uwongo mwingi sana huko na kwenye baiskeli,hata kandandaHaiwezi kutokea kwa maana muda wote alipokuwa akijiandaa kwa tukio hili alikuwa chini ya uangalizi wa kila aina ya diet, na alikuwa anakula, kunywa na kutibiwa na wataalamu maalum
Ha ha ha anamkeweinawezekana viungo vyake vyote vipo active
Ha ha haNi double line na minara yote inasoma 4g
Sasa sijui nimazoezi na kujinyima vyakula vya mafuta ndiyo maana nimkavu sanaJamaa ana 34 kweli huyo? Pumzi inamsupport ila sura inamkana.